Vyuo vikuu vitano vinavyoongoza kwa usafi Tanzania

Kati ya vyuo vikuu 19 vilivyoshiriki katika mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira, vitano vimeibuka katika nafasi ya juu vikiongozwa na Chuo cha Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM- AIST) kilichopo halmashauri ya Jiji la Arusha. Taarifa iliyotolewa kwa umma leo Jumatano, Aprili 9, 2025 na Wizara ya Afya…

Read More

Penalti ya Pamba Jiji yamshangaza Minziro

KITENDO cha Pamba Jiji kupewa mkwaju wa penalti dakika ya 90+7 kisha kukosa ilipotoka sare ya 1-1 na Fountain Gate, kimemshangaza zaidi kocha wa timu hiyo, Fredy Felix ‘Minziro’. Penalti hiyo ilipatikana baada ya beki wa Fountain Gate kumgonga mguuni James Mwashinga katika harakati za kuokoa juzi, mpigaji Mathew Tegis akagongesha mwamba wa juu na…

Read More

Suluhisho zinazoungwa mkono na Sayansi Kuongeza Usalama wa Maji katika Afrika Mashariki-Maswala ya Ulimwenguni

Panellists kutoka Taasisi ya Usimamizi wa Maji ya Kimataifa (IWMI) wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa IWMI 2024-2030 huko Afrika Mashariki. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Nairobi) Jumatano, Aprili 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 9 (IPS) – Katika Afrika Mashariki, mabadiliko ya hali ya hewa yamefanya maji kuwa njia ya…

Read More

Mahakama yatoa hati kumkamata Batweli aliyeruka dhamana

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu imetoa hati ya kumkamata mshtakiwa Ibrahim Batweli (21) baada ya kushindwa kufika mahakamani, bila kutoa taarifa. Pia mahakama hiyo imetoa hati kwa wadhamini wa mshtakiwa huyo kufika mahakamani hapo kujieleza sababu ya kushindwa kumfikisha mshtakiwa mahakamani hapo. Batweli ambaye ni mshtakiwa wa tatu  katika kesi ya kusafirisha…

Read More

VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA 2025/2026- KAPINGA

 ****** *📌 Majimbo yaendelea kufaidika na mradi wa umeme wa Vitongoji 15.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara na nguvu sasa inaelekezwa kwenye vitongoji. Mhe. Kapinga ameeleza kuwa, pamoja na kazi ya kupeleka umeme vitongojini inayoendelea…

Read More

Dar kinara watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani

Dodoma. Mkoa wa Dar es salaam umetajwa kuwa kinara kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani ikifuatiwa na mikoa ya Dodoma, Mwanza, Mbeya, Arusha na Iringa huku mikoa inayoongoza kuchangia maeneo ya miji kuwa na watoto zaidi ni Kagera, Geita, Kigoma, Dodoma, Mwanza na Shinyanga. Aidha katika kipindi cha Julai…

Read More