Hatimaye Mukwala kaanza | Mwanaspoti

Baada ya Mwanaspoti kuripoti namna mastaa wa zamani wa Simba wanavyotamani kuona kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akimuanzisha Steven Mukwala dhidi ya Al Masry na kumuweka benchi Leonel Ateba, hatimaye yametimia. Fadlu amewajibu wale wote waliotamani kumuona Mukwala akianza katika mchezo wa mkondo wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya robo fainali…

Read More

Juhudi za kuondoa maji zashika kasi Kwa Mkapa

WAKATI umesalia muda mfupi kabla ya mchezo wa robo fainali ya pili kupigwa, hali ya hewa ya mvua iliyoanza kunyesha mapema leo imeleta changamoto katika maandalizi ya mchezo huo. Katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, juhudi kubwa zinaendelea kuondoa maji kwa uchache yaliyotuama kwenye baadhi ya maeneo ya kuchezea. Watu wanaoonekana kuwa…

Read More

Mastaa Simba wataka Mukwala aanze

MASTAA wa zamani wa Simba, wanatamani Kocha wa timu hiyo, Fadlu Davis akamuanzia raia wa Uganda, Steven Mukwala kwenye kikosi cha kwanza kitakachowavaa Al Masry Jumatano jioni kwenye Uwanja wa Mkapa. Simba inahitaji ushindi wa mabao 3-0 kwa bila ili kusonga mbele kwenye hatua na nusu fainali ya Kombe la Shirikisho na kuweka rekodi mpya…

Read More

Juhudi kuondoa maji zashika kasi Kwa Mkapa

WAKATI umesalia muda mfupi kabla ya mchezo wa robo fainali ya pili kupigwa, hali ya hewa ya mvua iliyoanza kunyesha mapema leo imeleta changamoto katika maandalizi ya mchezo huo. Katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, juhudi kubwa zinaendelea kuondoa maji kwa uchache yaliyotuama kwenye baadhi ya maeneo ya kuchezea. Watu wanaoonekana kuwa…

Read More

Mbinu ya ubashiri: Kanuni tano zitakazokusaidia kusalia kwenye mchezo, kifedha na kihisia

Michezo ya kubashiri inahusisha hisia, hofu na matamanio ya ushindi. Hii ndiyo husimumua mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Lakini hata kitu kinachokuvutia zaidi kinaweza kuwa shida ikiwa tu utashindwa kukidhibiti.  ● Hasara za kifedha: Bila kuwa na kipimo, ni rahisi kutumia zaidi ya ulichokipanga ● Kujisababishia madeni: Tamaa ya kurudisha ulichopoteza mara nyingi hukusababishia kukopa….

Read More

Vita ya Pacome na Fei Toto sio ya kitoto!

YANGA Alhamisi hii itakuwa ugenini ikimkabili Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao viungo Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Pacome Zouzoua watakuwa na vita yao kwenye kutoa pasi za mwisho. Kinara ni Fei Toto mwenye pasi 12 zilizozaa mabao na kupachika mabao matano kambani hivyo imemfanya ahusike kwenye mabao 17 kati ya 38…

Read More

Tanzania Prisons itaishusha KenGold Sokoine leo?

KATIKA uwanja wa Sokoine, Mbeya  Kengold FC ambao wanaburuza mkia wakiwa na pointi 16 watakuwa na mtihani mgumu dhidi ya Tanzania Prisons, walioko nafasi moja juu yao wakiwa na pointi 21. Kitakwimu kama KenGold itakubali kupoteza mchezo huo huenda ikawa imeshuka daraja kwani hesabu za vidole zitakazosalia si rafiki kwao. Kumbukumbu za misimu mitatu nyuma…

Read More

Bei za petroli, dizeli zapaa Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza kuongezeka kwa bei za mafuta ambazo zitaanza kutumika leo Jumatano, Aprili 9, 2025. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, Meneja wa Kitengo cha Uhusiano wa Zura, Mbaraka Hassan Haji, amesema kuwa ongezeko hilo la bei linachangiwa na mabadiliko ya fedha za…

Read More

FISI WAHARIBIFU WAZIDI KUDHIBITIWA, SIMIYU NA KONGWA.

Na Sixmund Begashe – Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo Jijini Dodoma, Mkurugenzi Kitengo cha Uratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC) Fidelis…

Read More