VIDEO: Wananchi wapewa mbinu kukabiliana na polisi wanaokamata watu ‘kihuni’

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limetoa wito kwa wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote anayejitambulisha kama askari polisi bila kuonyesha kitambulisho cha utumishi na kueleza kituo cha polisi alichotoka. Jeshi hilo limesema kitendo cha kutokuonyesha kitambulisho au kituo cha kazi ni kinyume cha sheria na kinaweza kutumika kama mbinu ya kuficha vitendo vya kihalifu….

Read More

RPC Jongo: Msikubali kukamatwa na askari asiye na kitambulisho

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limetoa wito kwa wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote anayejitambulisha kama askari polisi bila kuonyesha kitambulisho cha utumishi na kueleza kituo cha polisi alichotoka. Jeshi hilo limesema kitendo cha kutokuonyesha kitambulisho au kituo cha kazi ni kinyume cha sheria na kinaweza kutumika kama mbinu ya kuficha vitendo vya kihalifu….

Read More

Majaliwa: Viongozi wa dini himizeni amani wakati wa uchaguzi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa dini, vyama vya siasa na mashirika yasiyo ya kiserikali, kuhamasisha wananchi wazingatie amani na utulivu wakati wa uchaguzi. Ametaka hilo liambatane na kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi ili kuwachagua viongozi. Majaliwa anakuja na kauli hiyo katika kipindi ambacho, Chama cha…

Read More

Jela kwa kubaka na kumpa mimba mwanafunzi

Mwanza. Mahakama ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mkazi wa Kijiji cha Kinamweli, Iddy Makungu (30) kwa kosa la kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14. Hukumu hiyo imetolewa jana Jumanne Aprili 8, 2025 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Ndeko Dastan Ndeko, ambaye amesema mtuhumiwa…

Read More