MAJENGO YA DHARURA KUONGEZEKA KUFIKA 116

****** Na WAF – Dodoma Serikali ya Tanzania imendelea kuboresha huduma za afya kwa kuongeza idadi ya hospitali zenye majengo ya kutolea huduma za dharura (EMD) kutoka 7 hadi kufikia 116 ndani ya miaka minne ikiwa ni ongezeko la hospitali 109. Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akifunga…

Read More

HUU NI MSAADA KWA WALE WANAOTONGOZA NA KUKATALIWA !!

 logo Huu ni msaada kwa wanaokataliwa kila wakitongoza By ngilishonews.com Waswahili husema kutongoza ni aina nyingine ya sanaa ambayo inahitaji ujuzi pia, kwa kawaida wanawake wanahitaji na kupenda maneno matamu yenye ushawishi kutoka kwa wanaume. Hata hivyo, sio wanaume wote wanaweza kufanya kitendo hicho cha ujasiri, wengi huishia kukaa kimya na hitaji lao moyoni, wengi…

Read More

Niite Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere

Canada. Haraka haraka niliwasiliana na Madaraka, mwana mwenyewe wa Nchonga aliyewahi kunikaribisha Mwisenge nikahiji kwenye kaburi la baba wa kaya na kuniahidi kirungu. Ilikuwa ni baada ya kung’aka baada ya tapeli mmoja wa kisiasa aitwaye Washiti kupewa. Kwa busara na unyenyekevu, alinijibu “mwalimu alikuwa baba wa wote.” Kiakili ya kifyatu na kibusara, alinikata kilimilimi nikakubali…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Gari ikigongwa na treni imekosea

Kuna hekaya zingine za utotoni tulizigundua ukubwani kuwa zilikuwa za kufikirika. Lakini zingine hadi leo zimetuachia maswali bila majibu. Kwa mfano hii inayodai kuwa treni ikigonga gari, gari ndiyo itakayoadhibiwa. Inaweza kuwa kweli kwa sababu reni haiwezi kutumia njia ingine zaidi ya reli, na reli haiwezi kutumika na chombo kingine cha usafirishaji. Iwapo njia hiyo…

Read More