TEA YAANZA UTEKELEZAJI MIRADI YA AMALI ZANZIBAR

***** Naibu katibu Mkuu – Utawala, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bw, Khalid Waziri akizungumza katika kikao kazi kati ya TEA na wizara hiyo kuhusu ujenzi wa shule za amali visiwani Unguja na Pemba. Unguja Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imeanza rasmi utekelezaji wa miradi ya amali kwa upande wa Zanzibar, ambapo shilingi…

Read More

Kuongeza Tamaa katika Utafiti wa Sayansi ya Kilimo Kama Cgiar hufunua kwingineko mpya – maswala ya ulimwengu

Kadiri Kusini mwa Global inavyofikia juu ya viwango vya usalama wa chakula na lishe, wataalam wanasema sayansi itageuza hali ya umaskini uliokithiri na njaa. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Jumanne, Aprili 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 08 (IPS) – Viwango vya ukosefu wa chakula ulimwenguni na lishe vinaumiza kuelekea…

Read More

Meridianbet Yazindua Mashindano ya Kusisimua ya “SmartSoft Spin & Win” kwa Mwezi wa Aprili

KAMPUNI inayoongoza katika michezo ya kubashiri, Meridianbet, inayo furaha kutangaza uzinduzi wa Mashindano ya SmartSoft Spin & Win, yatakayodumu mwezi mzima wa Aprili. Mashindano haya ya kusisimua yanatoa nafasi kwa wachezaji kujishindia zawadi kubwa kupitia michezo maarufu ya SmartSoft. Mambo Muhimu ya Mashindano: Muda wa Mashindano: Mashindano yataendelea mwezi mzima wa Aprili, hivyo kuwapa wateja…

Read More

Tanzania yataja faida za kushiriki maonesho ya EXPO

Dodoma. Serikali imetaja faida nne zitakazopatikana kwa Tanzania kushiriki maonesho ya biashara ya EXPO yatakayoanza Aprili 12 hadi Oktoba 13 katika Kisiwa cha Yumeshima kilichopo Osaka nchini Japan. Katika maonesho yaliyofanyika kuanzia Oktoba 1 mwaka 2021 hadi Machi 31 mwaka 2022 Dubai, Tanzania iliwezesha kusainiwa kwa hati za makubaliano 36 zenye thamani ya Sh18.5 trilioni…

Read More

Mechi za UEFA Kukupatia Mkwanja Leo

LIGI ya Mabingwa Ulaya hatua ya Robo Fainali mechi za mkondo wa kwanza kuendelea ambapo tayari wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wakikuekea odds za kibabe. Ingia na ubashiri sasa. Mechi kali ambayo inatolewa macho na watu wengi ni hii Arsenal dhidi ya Real Madrid mabingwa mara nyingi wa michuano hii, wakichukua Kombe hili mara 15….

Read More

Bashe alia na zao la chai Tanzania

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema tangu ateuliwe kuongoza wizara hiyo haridhishwi na maendeleo yaliyopo kwenye zao la chai kutokana na mambo yanayoendelea ikiwamo kushuka kwa mapato yatokanayo na mauzo yake nje ya nchi. Bashe ameeleza hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akizindua bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania (TBT) kwenye…

Read More