WAZIRI MKUU ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 8, 2025 ameshiriki Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 8, 2025 ameshiriki Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge jijini Dodoma.
Na: Calvin Gwabara – Mwanza Kukamilika kwa Mwongozo wa Ufasili wa Sheria, Istilahi za Kisheria pamoja na ufasili wa sheria kuu 446 za Tanzania kutasaidia jamii kuzielewa, kuzifuata na kupunguza kufanya makosa yanayotokana na kutojua kwao sheria sambamba na utoaji wa haki. Mwandishi Mkuu wa Sheria Bwana Onorius Njole wakati akizindua kikosi kazi…
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo April 8, 2025 Mwenge wa Uhuru umezindua mradi wa boti ya doria na ukaguzi baharini katika soko la samaki, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani, utakaodhibiti upotevu wa mapato yatokanayo na uvuvi, kuzuia uvuvi haramu na biashara za magendo zinazofanyika baharini. Aidha, mradi huu ambao umegharimu milioni 40.603 pia utaimarisha usimamizi wa…
Kiungo wa Yanga, Khalid Aucho atakuwa nje ya uwanja kwa takriban wiki tatu baada ya kuumia nyama za paja. Jana, wakati Yanga ikishinda nyumbani kwa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union, Aucho alilazimika kucheza mechi hiyo kwa dakika 45 kisha akaomba kutoka baada kusikia maumivu na nafasi yake kuchukuliwa na Mudathir Yahya. Leo, kiungo huyo…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia April 8,2025 Mwenge wa Uhuru umetembelea ,kukagua na kuweka jiwe la msingi miradi 15 yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 2.8 . Akipokea mwenge wa Uhuru Aprili 7, 2025, kwa mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo, Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Mangosongo amesema kati ya miradi…
Dar/mikoani. Mvua za masika zimeendelea kuleta maumivu kwa watumiaji wa barabara katika maeneo mbalimbali nchini, huku baadhi ya maeneo yakishindwa kufikika kutokana na uharibifu. Hali hiyo imesababisha baadhi ya wananchi kuilaumu Serikali, wakidai licha ya majanga hayo kujirudia kila mwaka, hakuna mpango endelevu wa kudhibiti madhara hayo. Hali hii inajitokeza ikiwa ni wiki ya pili…
Na: Calvin Gwabara – Mwanza. Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) lapongeza kazi kubwa inayofanywa na Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kuhakikisha sheria zote za Tanzania zinaandikwa kwa lugha mama ya Kiswahili. Mhariri Mkuu wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) bwana Richard Ntambi akitoa…
Angola. Tanzania na Angola wametiliana saini mikataba miwili yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya nchi mbili hizo. Miongoni mwa mikataba hiyo ni pamoja na wa rasimu ya mkataba wa ushirikiano katika sekta ya ulinzi. Akizungumza na waandishi wa habari Ikulu jijini Luanda nchini Angola, leo Jumanne Aprili 8, 2025, Waziri wa Ulinzi na Jeshin…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya nchi hiyo iliyopo Jijini Luanda tarehe 08 Aprili, 2025. Matukio mbalimbali mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan…