Mchome azidi kuichoma Chadema kwa msajili

Dar es Salaam. Sakata la Lembrus Mchome, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mwanga, limechukua sura mpya baada ya kada huyo kuiandikia tena Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, akitaka uongozi wa juu wa chama hicho kubatilishwa. Barua ya Mchome kwenda kwa msajili inakuwa ya pili baada ya kuwasilisha barua…

Read More

RAIS MWINYI:ZANZIBAR INA SERA BORA KWA UWEKEZAJI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa ya maendeleo kipindi cha miaka 4 kwa mageuzi katika sekta mbalimbali na kuimarika kwa mifumo  pamoja na kuanzisha sera bora kwa uwekezaji zinazolenga kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na kimataifa.  Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo katika…

Read More

Wafanyabiashara kunufaika mikopo nafuu | Mwananchi

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo watakuwa na uhakika wa kupata mikopo nafuu isiyo na dhamana baada ya taasisi za kifedha EFTA na GSM kuingia mkataba wa kifedha kuwezesha suala hilo. Sasa wafanyabiashara watakuwa na uwezo wa kupata mikopo ya vifaa, magari na vitendea kazi ili kujiimarisha kiuchumi. Hayo yameelezwa leo Jumanne Aprili 8, 2025 na…

Read More

UJENZI WA DHARURA WA MADARAJA HAUTAATHIRI MIPANGO YA KUDUMU

…………………… Serikali imefafanua kwamba kazi ya ujenzi wa madaraja matano kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi zilikuwa zinaendelea na haitaathiriwa na juhudi za sasa za kukarabati maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko ya mvua katika siku za karibuni.  Kauli hiyo ya Serikali imetolewa leo na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, katika eneo la Somanga…

Read More

Shirika la Uvuvi laiangukia Serikali changamoto zake

Dar es Salaam. Shirika la Uvuvi Tanzania (Tafico), limesema kutokuwepo kwa bodi ya shirika, upungufu wa watumishi, mitaji ya uendeshaji miradi ni miongoni mwa changamoto zinazolikabili shirika hilo. Pia, kukosekana kwa wenye ujuzi wa uendeshaji meli za uvuvi za bahari kuu, madeni ya watumishi, watoa huduma na ukosefu wa fedha za kuendeshea meli itakayokamilika Novemba…

Read More

SBC WATOA HEKO KWA SERIKALI YA MAMA SAMIA

BAADHI ya wawekezaji wa sekta ya vinywaji na chakula wameipongeza serikali kwa juhudi zake za kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya biashara na uwekezaji nchini Kwa Kuhakikisha Nchi inakuwa salama na mifumo mizuri ya kulipa kodi kwani hatua zinazochukuliwa na serikali katika kuboresha mifumo ya kisekta, sheria, na miundombinu zinatoa fursa kwa biashara kukua na kustawi….

Read More

Mabadiliko yanukia sekta ya afya

Dar es Salaam. Serikali imezindua rasmi mfuko wa ufadhili wa Rais Samia Suluhu Hassan (Samia Scholarship Fund) utakaokuwa endelevu, kwa ajili ya kutoa mafunzo ya ubingwa na ubobezi kwa wataalamu wa afya, huku ikikusudia kuimarisha mfumo wa tehama.   Mfuko huo utahusisha wataalamu wa sekta ya afya wakiwemo madaktari, wataalamu wa dawa za usingizi, maabara,…

Read More

Jimbo la Masasi wataka CCM kuwapa wagombea wanaokubalika

Na Mwandishi Wetu Siku chache baada ya Katibu Mkuu na mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emanuel Nchimbi kufanya ziara katika Jimbo la Masasi, Mkoani Mtwara baadhi ya wakazi wa Jimbo hilo wamekiomba chama hicho kuwapitiaha wagombea wanaotakiwa na wananchi kwa ajili ya kuwaletea maendeleo. Wakazi hao wamesema kuwa,Jimbo hilo lina changamoto mbalimbali…

Read More

Jinsi wanawake wa vijijini watakavyoinuliwa kiuchumi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imekuja na mkakati wa kuhakikisha uwezeshaji wanawake kiuchumi unaanzia ngazi ya vijiji na mitaa ili asiwepo anayeachwa nyuma katika ujenzi wa uchumi jumuishi. Hilo litafanyika kupitia uzinduzi wa mwongozo wa majukwaa ya uwezeshaji wanawake kiuchumi uliokwenda sambamba na uzinduzi wa kamati ya elimu na uhamasishaji kwa jamii itakayofanya kazi…

Read More