Malisa atinga kortini kupinga Samia kuwa mgombea urais

Moshi. Aliyekuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Godfrey Malisa, amewasilisha maombi kortini akiomba uanachama wake ulindwe, ili afungue maombi ya kupinga mchakato wa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais. Dk Malisa amewasilisha ombi hilo akiomba mahakama itoe zuio la muda kwa lengo la kulinda hadhi ya uanachama wake, wakati maombi yake…

Read More

Othman ahimiza viongozi kuacha fitna wakigombea uongozi

Pemba. Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman amewahimiza viongozi wa chama hicho kujenga umoja na kuepuka fitna wakati wa kuwania nafasi za uongozi na kuongeza umakini kuelekea uchaguzi mkuu, ili kukabiliana na uporaji wa haki dhidi ya demokrasia. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo leo…

Read More

Wajasiriamali wapatiwa mafunzo ya kurasimisha biashara

Geita. Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Geita imewataka wafanyabiashara na wajasiriamali kuacha kulalamika kuhusu changamoto za kiuchumi badala yake wachangamkie fursa zilizopo, ikiwemo kurasimisha biashara zao, ili ziweze kuwanufaisha kwa mikopo, masoko na uwekezaji. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa TCCIA mkoani Geita, Robert Gabriel wakati wa mafunzo kwa wafanyabiashara na…

Read More

BOHARI YA DAWA (MSD) YAPELEKA MASHINE ZA KISASA ZENYE TEKNOLOJIA YA AKILI MNEMBA JKCI KUTOA HUDUMA ZA KISASA

Bohari ya Dawa (MSD) imenunua na kupeleka mashine za kisasa zenye Tekinolojia ya Akili Mnemba (Artificial Intelligence) kwa ajili ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ili  kuiwezesha taasisi hiyo kutoa huduma za kisasa. Mashine hizo ambazo baadhi tayari zimefungwa zinatarajia  kuanza kutoa huduma muda wowote kuanzia sasa. Akizungumza baada ya kupokea mashine hizo …

Read More

Kinachoitesa Dodoma Jiji misimu mitano Ligi Kuu

KUFIKISHA pointi 44 kwenye Ligi Kuu Bara, imekuwa changamoto kubwa sana kwa Dodoma Jiji ambayo huu ni msimu wake wa tano inashiriki ligi hiyo. Timu hiyo iliyopanda Ligi Kuu msimu wa 2020-2021 baada ya kuwa vinara wa Kundi A katika Ligi Daraja la Kwanza (sasa Championship) 2019-2020, haijawahi kurudia iliyoyafanya msimu wao wa kwanza jambo…

Read More