TAFICO YAZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI

  Baraza la Wafanyakazi la Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) limekutana na kufanya kikao kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali yatakayosaidia kurahisisha utendaji kazi na kuboresha utoaji wa huduma mbalimbali. Kikao hicho kimefanyika katika ofisi za Shirika hilo zilizopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa baraza la wafanyakazi pamoja na kukabidhi…

Read More

TANZANIA KUSHIRIKI MAONESHO YA EXPO 2025 JIJINI OSAKA JAPAN

  Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo, akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo Pichani) leo Aprili 8,2025 jijini Dodoma kuhusu ushiriki wa Tanzania katika Maonesho ya Biashara ya Kidunia Expo 2025 yatakayofanyika jijini Osaka nchini Japan. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo, akizungumza na Waandishi wa habari  leo Aprili 8,2025 jijini Dodoma kuhusu…

Read More

Masika yasimamisha ligi ya kikapu Arusha

MVUA za masika zinazoendelea kunyesha mjini Arusha zimeathiri kuanza kwa mashindano ya Ligi ya Kikapu mkoani humo msimu ujao. Awali, Chama Mpira wa Kikapu Mkoa Arusha (ARBA) kilipanga kukutana na viongozi wa klabu shiriki ili kukubaliana tarehe ya kuanza mashindano hayo baada ya kushindwa kuanza kutokana na mvua zinazonyesha. Jackob Gibons, mwenyekiti wa ARBA ameliambia…

Read More

RAIS MWINYI AWAKARIBISHA WAFANYABIASHARA WA UINGEREZA KUWEKEZA ZANZIBAR

…………………… Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewakaribisha Wawekezaji kutoka Uingereza kuwekeza  Zanzibar katika fursa mbalimbali ikiwemo sekta ya Uchumi wa buluu, utalii,  usafiri wa baharini,  uvuvi , nishati na miundombinu ya kidijitali. Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipojumuika kwenye chakula cha jioni na Wakurugenzi wa Taasisi mbalimbali za biashara…

Read More

MAWASILIANO SOMANGA- MTAMA YAANZA KUREJEA ABIRIA WASHUKURU

…………………. Mawasiliano ya Barabara Somanga – Mtama yameanza kurejea kwa hatua katika barabara iendayo mikoa ya Kusini tangu leo alfajiri  baada ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya kazi usiku na mchana kurekebisha eneo la Somanga na Matandu lililoharibiwa na mvua na kufanya njia isipitike. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ambaye ameweka kambi katika…

Read More

MSD YAPELEKA MASHINE AKILI MNEMBE JKCI

………………….. Bohari ya Dawa (MSD), imenunua na kupeleka mashine za kisasa zenye Tekinolojia ya akili mnembe kwa ajili ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ili  kuiwezesha taasisi hiyo kutoa huduma za kisasa. Mashine hizo ambazo baadhi tayari zimefungwa zinatarajia  kuanza kutoa huduma muda wowote kuanzia sasa. Akizungumza baada ya kupokea mashine hizo   Mkurugenzi…

Read More

Kuna nini Dar City BDL?

WAKATI timu zikiwa katika maandalizi kwa ajili Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) msimu ujao,  Dar City inaweza kushindwa kuonyesha makali kunatokana na kutoaanza mapema mazoezi ya pamoja. Timu hiyo yenye wachezaji wazoefu kutoka ndani na nje ya nchi, inadaiwa kuonyesha kujiamini zaidi kabla ya kuanza kwa msimu. Wachezaji nyota wa Dar…

Read More