DAWA YA MUME MWENYE GUBU NDANI YA NYUMBA!

Dawa ya mume mwenye gubu ndani ya nyumba By Ngilisho TvĀ  Ndoa ama mahusiano bila ya mapenzi huwa si hayaendi mbali kwani mapenzi huwa kiini cha umoja na mshikamano. Wapenzi kwenye mahusiano hupaswa kuwajibika na kuelewana kwa wakati wowote ili kuwezesha mahusiano kuwa yenye matamanio. Tulikuwa tumefunga ndoa na mume wangu ambapo mwaka mmoja ulikuwa…

Read More

Samia kuzuru makumbusho, kuunguruma bungeni Angola

Angola. Ikiwa leo ni siku ya pili ya ziara ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan nchini Angola yenye lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria baina ya nchi mbili hizi, asubuhi atatembelea makumbusho ya Antonio Agostino Neto, muasisi wa Taifa la Angola. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Sharifa…

Read More

Masomo kutoka Korea – Masuala ya Ulimwenguni

Maombi ya amani katika mpaka wa Kikorea.credit: Greenburd/Shutterstock.com Maoni na Stein Tonnesson Jumatatu, Aprili 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Aprili 07 (IPS) – Makubaliano ya Armistice ambayo yalimaliza Vita vya Kikorea mnamo 1953 yametajwa kama mfano unaowezekana wa jinsi ya kumaliza mapigano huko Ukraine. Hii ina maana. Utawala wa Trump, hata hivyo, unaonekana…

Read More

Samia kuzuru makumbusho, kunguruma bungeni Angola

Angola. Ikiwa leo ni siku ya pili ya ziara ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan nchini Angola yenye lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria baina ya nchi mbili hizi, asubuhi atatembelea makumbusho ya Antonio Agostino Neto, muasisi wa Taifa la Angola. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Sharifa…

Read More

Zijue faida za katuni kwa watoto

Dodoma. Ni nadra nyumba yenye televisheni hasa katika maeneo ya mijini, kukuta watoto wadogo wakiangalia vipindi vingine tofauti na katuni. Katuni ni picha jongefu ambazo zimetiwa sauti na matendo, ambapo zamani zilikuwa zikitumiwa kama burudani lakini kadiri muda unavyoenda, ubunifu wa watengenezaji wengi wamejikita katika kutoa elimu na burudani. Akizungumza na Mwananchi, Mkuu wa Kitivo…

Read More

Rais Samia kulihutubia Bunge la Angola leo

Angola. Ikiwa leo ni siku ya pili ya ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Angola yenye lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria baina ya nchi hizi mbili, asubuhi atatembelea makumbusho ya Antonio Agostino Neto, muasisi wa Taifa la Angola. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Sharifa Nyanga, akiwa…

Read More

JUBILEE HEALTH INSURANCE YAJIVUNIA MAFANIKIO YAKE,YAPEWA TUZO YA TSEA 2025

Na Mwandishi Wetu Jubilee Health Insurance imesema inayofuraha kutangaza mafanikio yake makubwa nchini Tanzania baada ya kupata tuzo ya Service Excellence Awards (TSEA) 2025. Taarifa ya Jubilee Health Insurance kwa vyombo vya habari imesema tuzo hiyo ambayo imetolewa Machi 28 mwaka huu inawafanya waongeze juhudi katika kutoa huduma bora kwa wateja, jambo ambalo limekuwa kipaumbele…

Read More

Tunaweza kutatua changamoto za ulimwengu kupitia uwekezaji wa umma wa ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Habari za UN / SMG Kimataifa Maoni na Harpinder collacott (New York) Jumatatu, Aprili 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Aprili 07 (IPS) – Kuangalia kwenye skrini zetu uharibifu uliofanywa na tetemeko la ardhi ambalo liligonga Asia Kusini -Mashariki wiki iliyopita limeleta ukumbusho mkubwa wa hatari yetu ya pamoja katika ulimwengu…

Read More

Uchawa saratani inayolemaza wasomi | Mwananchi

Umewahi kujiuliza, kama wakoloni wangekuwa bado wanaendeleza unyonyaji Tanzania, tungepata vijana jasiri wa kuukataa ukoloni na kuwa tayari kufa kwa ajili ya taifa lao? Hali ilivyo sasa, ni vigumu kusema ndiyo. Tukikumbuka mchango wa vijana waliopigania uhuru wa taifa letu na kuulinganisha na kizazi cha sasa, ama utalia au utashangaa kwa matendo yao. Vijana wa…

Read More