Baba wa mtoto Juma apatikana, Balozi Bwana asimulia ilivyokuwa
Afrika Kusini. Baada ya miezi 10 ya juhudi za ufuatiliaji, hatimaye mtoto wa Kitanzania, Juma, maarufu Joel, mwenye umri wa miaka 13 aliyekuwa akiishi kwenye kituo cha watoto yatima huko Johannesburg, Afrika Kusini, atarejeshwa nchini kuungana na baba yake mzazi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Aprili 7, 2025 na Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika…