Chaumma yashauri marekebisho Tume ya Uchaguzi

Mbeya. Pamoja na kuthibitisha kushiriki uchaguzi mkuu wa 2025, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimependekeza na kuishauri Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) baadhi ya mambo ya kufanyiwa marekebisho kabla ya shughuli hiyo. Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Oktoba 25, 2025 kuwapata madiwani, wabunge na Rais huku chama hicho kikitarajia kusimamisha wagombea katika…

Read More

Namba zamkatisha tamaa Kocha Azam

KIPIGO cha bao 1-0 ilichokipata Azam mbele ya Singida Black Stars, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi kuonyesha dalili za waziwazi amekata tamaa. Azam kwa sasa ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 51 baada ya kucheza mechi 25 na Taoussi alisema matumaini ya wao kutwaa ubingwa msimu huu yamevunjika…

Read More

Serikali yaweka msimamo hatima ya mgodi wa dhahabu Magambazi

Handeni. Serikali imesema itaendelea na msimamo wa kutozihuisha leseni za Kampuni ya PMM Tanzania Limited inayoendesha na kumiliki mgodi wa kati wa dhahabu wa Magambazi, uliopo wilayani Handeni, mkoani Tanga, kutokana na kutoridhishwa na utendaji kazi wake. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji…

Read More

KenGold na Dakika 180 za kubaki Ligi Kuu

KABLA ya kumalizika kwa mwezi huu, tunaweza kuishuhudia KenGold ikilazimika kuanza harakati za kujiandaa kushiriki Championship msimu ujao endapo itashindwa kuzitumia vizuri dakika 180 zijazo sawa na mechi mbili. Kwa sasa KenGold ina hali mbaya zaidi ikiwa kwenye harakati za kupambana kubaki Ligi Kuu Bara, huku hatma yao kwa asilimia kubwa ikiwa mikononi mwa Tanzania…

Read More

Madaraja mawili yakatika barabara inayoenda mikoa ya kusini

Kilwa. Mvua zinazoendelea kunyesha katika Mkoa wa Lindi hasa wilayani Kilwa, zimesababisha kukatika kwa baadhi ya madaraja likiwamo la Somanga – Mtama na la Mto Matandu ambalo awali liliharibiwa na mvua zilizoambatana na Kimbunga Hidaya, Mei 5, 2024. Mvua na Kimbunga Hidaya vilileta madhara katika barabara ya kusini na kufunga mawasiliano kwa siku tatu, hata…

Read More

WIZI WA MILIONI 400 ZA BODABODA ARUSHA, MTUHUMIWA MUHIMU ATIWA MBARONI ,DIWANI WA VITI MAALUM AKAANGWA TAKUKURU KUHUSU MILIONI 120.

 Na Joseph Ngilisho Arusha Wakati kilio cha muda mrefu cha wizi wa sh, milioni 400 za waendesha pikipiki maarufu bodaboda Mkoa wa Arusha zilizochangwa na wadau mwaka 2017 ,zipo taarifa za uhakika za kushikiliwa kwa mwenyekiti wa zamani wa umoja wa bodaboda Arusha (UBOJA),Maulid Makongoro. Vyombo vya dola vililazimika kuzinduka usingizini mara baada ya Mkuu…

Read More