Matarajio ya wadau ziara ya Rais Samia Angola

Dar es Salaam. Kuimarisha ushirikiano, kukuza biashara, mustakabali wa kinachoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Angola. Kwa mujibu wa wadau tofauti, ziara hiyo mbali na kukuza uwekezaji na biashara baina ya mataifa hayo mawili, pia, inatarajiwa kutengeneza msingi wa mpango wa…

Read More

Watu 249 wachunguzwa na kutibiwa moyo Zanzibar

……………. Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam 07/04/2025 Watu 249 wamepata huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo wakati wa kambi maalumu ya upimaji na matibabu ya moyo iliyofanyika kwa siku nne katika uwanja wa Amaani uliopo Zanzibar. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya…

Read More

Ushauri wa Profesa Lipumba kwa Bunge

Dar es Salaam. Wakati kikao cha Bunge la Bajeti kinatarajiwa kuanza kesho Jumanne, Aprili 8, 2025, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, ameshauri kuwa ili kuwatendea haki Watanzania, hotuba zake zijikite kuchambua sababu za kutofanikisha malengo ya Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo. Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa miaka mitano ni wa mwisho…

Read More

Wamachinga warudi katikati ya mji Iringa

Iringa. Serikali imeeleza kutoridhishwa na baadhi ya wamachinga kurejea katikati ya mji wa Iringa kinyume na maelekezo ya awali kwamba, waende kwenye maeneo rasmi yaliyotengwa kwa ajili yao. Kauli hiyo imetolewa jana Jumamosi Aprili 6, 2025 na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe  alipozungumza katika kikao kilichowakutanisha viongozi wa mkoa, wilaya, Manispaa ya…

Read More

BARRICK YASHAURI WANAFUNZI KUWA NA BIDII NA UBUNIFU KATIKA KONGAMANO LA AIESEC CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Afisa Rasilimali Watu Mwandamizi kutoka Mgodi wa Barrick North Mara, Elibramack Joel, akiongea na wanafunziAfisa Rasilimali Watu Mwandamizi kutoka Mgodi wa Barrick North Mara, Elibramack Joel, akiongea na wanafunziVijana wasomi nchini waliopo vyuoni wametakiwa kuongeza bidii, maarifa katika masomo yao na kuwa wabunifu ili kuweza kupenya kwenye soko la ajira kwenye taasisi mbalimbali ikiwemo migodini…

Read More