PMT YASHIRIKI USAFI UFUKWE ZA DENGU

  Na Eben-Ezery Mende  SHIRIKISHO la michezo ya Pentathlon Tanzania (PMT) limeshiriki utaratibu wa kufanya usafii katika Fukwe za Dengu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na wanamichezo na washiriki waliokutana kwenye fukwe hizo kwa ajili ya kushiriki kufanya usafi Mkurugenzi wa Ufundi wa mbio za vikwazo,Joshua Kayombo (Joka) amesema utaratibu huo umezinduliwa leo Aprili 05/2025…

Read More

Chukua Mkwanja Wako Mapema Leo

HATIMAYE baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa na matokeo mengine yakiwa yakustaajibisha, leo hii ni zamu tena ya wababe wengine kibao uwanjai. Beti yako unampa nani akupe pesa? Tukianza na ligi kuu ya Uingereza EPL mechi kibao zipo Brentford atamualika kwake Chelsea ambapo mechi ya kwanza The Blues waliondoka na ushindi. Nafasi ya kushinda…

Read More

Akili Mnemba zitakazoongeza ufanisi wa kazi zako

Dar es Salaam. Kadri teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyozidi kushika kasi duniani, matumizi ya zana zake kazini na katika maisha ya kila siku yamekuwa suluhisho kubwa kwa kuongeza ufanisi, ubunifu na kuokoa muda. Ikiwa wewe ni mtumiaji wa zana hizo au unapanga kuanza safari hiyo mwaka 2025, basi zifuatazo ni baadhi ya programu bora…

Read More

Saba wahukumiwa kunyongwa hadi kufa ndani ya miaka minne mkoani Mbeya

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema kwa miaka minne iliyopita linajivunia mafanikio mengi, ikiwamo watuhumiwa saba waliopatikana na hatia na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa kutokana na matukio ya mauaji. Mafanikio mengine ni kupata askari wapya 351 waliohitimu mafunzo ya kijeshi, huku wengine 1,162 waliokuwa katika nafasi mbalimbali wakipandishwa vyeo. Leo Jumatatu, Aprili 7,…

Read More