Wiki ya Sayansi ya Cgiar inatafuta suluhisho kwa usalama wa chakula, hali ya usoni ya hali ya hewa-maswala ya ulimwengu

Sweetpotato kuvuka block, Uganda. Reuben Ssali, mfugaji wa mmea anayeshirikiana na Kituo cha Viazi cha Kimataifa. Mikopo: Cgiar na mwandishi wa IPS (Nairobi) Jumatatu, Aprili 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 07 (IPS) – CGIAR na Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo wa Kenya (Kalro) wanawaleta pamoja wanasayansi wanaoongoza ulimwenguni na…

Read More

Sababu Bunda Queens kucheza mechi chache

WAKATI Ligi ya Wanawake ikiishia raundi ya 15 kutokana na mapumziko ya kalenda ya FIFA kwenye fainali za AFCON (Women’s Futsal Cup of Nations 2025) zitakazofanyika Morocco mwezi huu, Bunda Queens ni timu pekee iliyocheza mechi chache. Bunda imecheza mechi 11 kati ya 15 zilizocheza baadhi ya timu, ikishinda mechi mbili, sare tatu na kupoteza…

Read More

Wachezaji Yanga Princess wapewa siku 15

NYOTA wa Yanga Princess wamepewa likizo ya siku 15 kutembelea familia zao kabla ya kujiunga na kambi Aprili 15 kuendelea na michezo ya Ligi ya Wanawake. Timu hiyo iko nafasi ya tatu kwenye msimamo na pointi 33, ikicheza mechi 15, ushindi mechi 10, sare tatu na kupoteza mbili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mratibu wa timu hiyo,…

Read More

Aliyeiua Simba Misri apata majanga

IMETHIBITISHWA kuwa, mshambuliaji wa Al Masry, John Ibuka, raia wa Nigeria ambaye alifunga bao la pili waliposhinda 2-0 dhidi ya Simba, atakosekana kwenye mechi ya marudiano jijini Dar keshokutwa Jumatano. Al Masry ambao walianza safari ya kuja Dar alfajiri ya jana Jumapili baada ya juzi Jumamosi kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Ceramica Cleopatra FC…

Read More

Dube, Mzize akili mbili kwa Coastal Union

IKIWA ni kati ya timu zinazokabiliwa na hatari ya kushuka daraja, Coastal Union ya Tanga ina kazi kubwa mbele ya Yanga wakati timu hizo zitakapokutana Jumatatu hii kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge. Yanga itawakaribisha Coastal Union katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara huku washambuliaji wake, Clement Mzize na Prince Dube wakitarajiwa kuingia uwanjani…

Read More

Ngoma afichua… Mkakati wa bao tatu

SIMBA ina kibarua kizito Jumatano hii dhidi ya Al Masry huku ikifahamu kwamba ili kuvuka moja kwa moja kucheza nusu fainali, inapaswa kushinda kuanzia mabao 3-0. Kutokana na deni hilo walilonalo Wekundu wa Msimbazi lililotokana na kichapo cha mabao 2-0 ugenini, mastaa wa timu hiyo akiwamo Jean Charles Ahoua na Elie Mpanzu kwa pamoja wameamua…

Read More

Waliokumbana na kibano Bunge la 12

Dodoma. Kadiri muda unavyosonga, Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linakaribia ukingoni mwa safari ya uhai wake wa miaka mitano tangu lianze mwaka 2020. Katika kipindi hiki limekuwa jukwaa la mijadala mikali ya kisera na kufikia uamuzi muhimu wa kitaifa. Hata hivyo, sambamba na majukumu yake ya kikatiba, kipindi hiki pia kimeshuhudia…

Read More