JK ASHIRIKI KUTOA MAFUNZO CHUO KIKUU CHA HAVARD HUKO BOSTON KWA MAWAZIRI WA NCHI ZINAZOENDELEA

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete yuko mjini Boston, Marekani, ambako anashiriki katika kutoa mafunzo kwa Mawaziri wa Fedha na Mawaziri wa Mipango kutoka nchi mbalimbali zinazoendelea. Mafunzo hayo yanafanyika chini ya Mpango wa Uongozi wa Ngazi ya Mawaziri wa Harvard, maarufu kama Harvard Ministerial Leadership Program, unaoendeshwa na Chuo Kikuu cha Harvard. Mheshimiwa Rais…

Read More

RAIS DK.SAMIA AZINDUA BENKI YA USHIRIKA JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Jengo la Makao Makuu ya Benki ya Ushirika Tanzania yaliyopo Jijini Dodoma tarehe 28 Aprili, 2025.     Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda ya maonesho ya masuala ya kilimo nje ya Ukumbi wa Mikutano Jakaya…

Read More

Wabunge walia gharama za kuunganisha umeme

Dodoma. Wabunge wameishauri Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), kupitia upya mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme ili kuweka unafuu kwa wananchi. Wamesema hayo leo Jumatatu Aprili 28, 2025 wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2025/26. Mbunge wa Kigoma Mjini, (CCM), Kilumbe…

Read More

Mpango wa Taifa wa Nishati wapewa kipaumbele 2025/26

Dodoma. Wizara ya Nishati imetaja vipaumbele vyake kwa mwaka wa fedha 2025/26, vinavyohusisha kuanza kwa utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Nishati wa mwaka 2025/30. Mpango huo unalenga kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika na kuwaunganishia wananchi kwenye huduma za nishati zinazotekelezwa. Mpango huo pia, unalenga kukuza mchango wa nishati jadidifu na kuongeza ushiriki wa…

Read More

‘Malalamiko ya umeme, huduma za afya yashughulikiwe’

Unguja. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amezitaka wizara nne kushughulikia malalamiko ya wananchi kuhusu urasimu wa kuunganishiwa umeme na huduma duni za afya katika Hospitali ya Wilaya ya Micheweni. Wizara zilizotakiwa kuchukua hatua ni wizara ya Afya, Maji, Nishati na Madini Zanzibar. Dk Dimwa ameagiza kuwa ndani…

Read More