Kaya milioni 1.3 zanufaika na Tasaf nchini

Shinyanga. Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) umeendelea kuleta matumaini kwa maelfu ya Watanzania, huku zaidi ya kaya milioni 1.3 zikinufaika na mpango huo. Hayo yamesemwa jana Aprili 5, 2025 kwenye taarifa iliyotolewa na ofisa habari na mawasiliano wa Tasaf, Christopher Kidanga katika mkutano mkuu wa waandishi wa…

Read More

WAZIRI MKUU AWATAKA MABALOZI KUISHI FALSAFA ZA RAIS DKT. SAMIA

******   WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza diplomasia ya kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali duniani. Mheshimiwa Majaliwa amesema kufanya hivyo kutaiwezesha Tanzania kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali zikiwemo za viwanda, kilimo, biashara pamoja na kupata masoko ya bidhaa…

Read More

Kaya milioni 1.3 zanuafika na Tasaf nchini

Shinyanga. Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) umeendelea kuleta matumaini kwa maelfu ya Watanzania, huku zaidi ya kaya milioni 1.3 zikinufaika na mpango huo. Hayo yamesemwa jana Aprili 5, 2025 kwenye taarifa iliyotolewa na ofisa habari na mawasiliano wa Tasaf, Christopher Kidanga katika mkutano mkuu wa waandishi wa…

Read More

Watoweka kwa siku 70, familia zinaendelea kuwatafuta

Dar es Salaam. Kijana Gwakisa (27) Hobokela mkazi wa Tabata Kisiwani na Kelvin Montana Mushi (19) wa Mbezi Luis jijini Dar es Salaam wametoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa zaidi ya siku 70, familia zikihaha kuwatafuta. Kelvin na Gwakisa wametoweka tangu Januari 24 na 26 mwaka huu katika matukio mawili tofauti. Familia ya Kelvin inadai…

Read More