Dk Nchimbi alivyohitimisha ziara nyumbani kwao
Ruvuma. Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi mkoani Ruvuma imetamatika, huku akisisitiza wananchi kujiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 pamoja na kuilinda amani ya nchi. Mbali na hilo, amesema chama hicho kitaendelea kupambana usiku na mchana kuhakikisha inatatua changamoto za wananchi na kuwapelekea maendeleo ili kuchagiza ustawi wa…