Rais Samia atunukiwa tuzo mwanamke kinara 2025

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo ya heshima ya mwanamke kinara 2025, huku akishukuru na kuahidi kuendelea kufanya kazi kwa masilahi ya Taifa. Tuzo hiyo ilitolewa juzi usiku mkoani Mwanza na taasisi ya Mwanamke Kinara iliyoandaa tuzo za wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali Kanda za Ziwa na Magharibi, huku mgeni rasmi akiwa Mkurugenzi…

Read More

Rupia afunga bao la 10, aizamisha Azam FC

Bao la dakika ya 75 la Mkenya Elvis Rupia, limetosha kuipa pointi tatu muhimu Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Liti mjini Singida. Mchezo huo ulikuwa ni wa kisasi kwa Singida baada ya mechi ya mzunguko…

Read More

Rais Samia atukiwa tuzo mwanamke kinara 2025

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo ya heshima ya mwanamke kinara 2025, huku akishukuru na kuahidi kuendelea kufanya kazi kwa masilahi ya Taifa. Tuzo hiyo ilitolewa juzi usiku mkoani Mwanza na taasisi ya Mwanamke Kinara iliyoandaa tuzo za wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali Kanda za Ziwa na Magharibi, huku mgeni rasmi akiwa Mkurugenzi…

Read More

Waziri atoa miezi mitatu wakulima, wafanyakazi kiwanda cha Chai Mufundi walipwe stahiki zao

Iringa. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara nchini, Exaud Kigahe ametoa miezi mitatu kwa kampuni ya DL, inayoendesha kiwanda cha chai kilichopo Mufindi, kuhakikisha kuwa malipo ya wakulima na wafanyakazi wa kiwanda hicho yanakamilika kuanzia Aprili hadi Juni 2025. Kauli hiyo ilitolewa jana, Aprili 5, 2025, katika mkutano uliofanyika nje ya kiwanda hicho cha chai…

Read More

JKT Queens yaendeleza rekodi za vipigo WPL

ACHANA na msimamo ulivyo wa Ligi ya Wanawake, JKT Queens ikiwa kileleni na pointi 38, timu hiyo inaongoza kwa kutoa vichapo kama ilivyo kauli mbiu yao ‘Kichapo cha Kizalendo’. Msimu huu imetoa vipigo vitanpo hadi sasa sawa na ilivyotoa msimu uliopita wote na tayari imefunga mabao 56 ikiwa timu pekee iliyofunga mabao kuanzia 50 kwenye…

Read More

Mpasuko Chadema, G55 waliamsha | Mwananchi

Dar es Salaam. Kile kinachoonekana kuwa mpasuko ndani ya Chadema kimeendelea kukita kambi, huku muungano wa watia nia wa ubunge wanaounda umoja wa G55 ndani ya chama hicho, ukionya hatari ya makada kukimbilia vyama vingine kutafuta jukwaa la kugombea. Sambamba na hilo, umebainisha vitisho vinavyowakabili kutokana na msimamo wao, ukidai watatu kati yao wameandikiwa barua…

Read More

Simba kuachana na Yussif Basigi mwisho wa msimu

Simba Queens iko kwenye mpango wa kuachana na Kocha Mkuu, Yussif Basigi mwishoni mwa msimu huu kutokana na kile alichokionyesha Ligi Kuu kutowaridhisha mabosi wa timu hiyo. Kocha huyo aliyejiunga na Simba akitokea Hasacaas Ladies ya Ghana na ukiwa ni msimu wake wa kwanza kwenye ligi, amepoteza mchezo mmoja dhidi ya Yanga Princess na sare…

Read More

Ang’atwa na kunyoflewa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More

Rais Mwinyi kushiriki mkutano wa CTIS Uingereza

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameondoka nchini usiku wa kuamkia leo, Aprili 6, 2025, kuelekea jijini London, Uingereza, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Biashara na Uwekezaji wa Jumuiya ya Madola (CTIS). Mkutano huo wa kila mwaka, utakaofanyika katika Jumba la kihistoria la Jiji la London, unatarajiwa kuanza Aprili 7 na kumalizika…

Read More