Ang’atwa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More

UCHAGUZI 2025: BALOZI NCHIMBI ATOA WITO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa msingi wa sera za CCM utabakia kuwa ni maendeleo ya watu pamoja na amani na utulivu wa nchi. Balozi Nchimbi aliyasema hayo leo Jumapili, tarehe 6 Aprili 2025, alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi wa mji wa Songea katika maeneo ya…

Read More

Hofu yatanda Muriet, miili mitatu yakutwa imetupwa

Arusha. Hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa Kata ya Muriet, jijini Arusha, baada ya kukutwa miili ya watu watatu waliouawa kwa namna ya kinyama katika matukio mawili tofauti na kutupwa katika maeneo ya wazi. Tukio la kwanza lilitokea Machi 26, 2025, ambapo miili ya watu wawili, mmoja wa jinsia ya kiume na mwingine wa kike, ilikutwa…

Read More

Mzimbabwe alia na mambo manne Tabora United

MAMBO bado hayajaeleweka kwa Kocha mpya wa Tabora United, Genesis Mang’ombe raia wa Zimbabwe baada ya kushindwa kupata ushindi tangu atue klabuni hapo akirithi nafasi ya Mkongomani, Anicet Kiazmak aliyeiongoza mechi 14 na kushinda nane, sare tano na kupoteza moja. Mang’ombe aliyetambulishwa klabuni hapo Machi 28, mwaka huu na tangu timu hiyo iliposhinda bao 1-0…

Read More

Kocha Fountain Gate Princess aitaka nafasi ya nne

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema malengo ya timu hiyo msimu huu ni kumaliza katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi. Timu hiyo iko nafasi ya saba kwenye msimamo na katika mechi 13, imeshinda nne, sare mbili na kupoteza saba ikikusanya pointi 14. Akizungumza na Mwanaspoti, Mirambo alisema wana nafasi ya…

Read More

Minziro: Mechi na Fountain itatupa uelekeo

BAADA ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United na kupaa hadi nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mchezo ujao dhidi ya Fountain Gate ndiyo utakaowapa uelekeo kwenye michuano hiyo. Pamba ilipata ushindi huo juzi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza na…

Read More