Kuitwa tena Taifa Stars hawa kazi ipo

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ iliyoshiriki fainali za mataifa ya Africa (Afcon) za Ivory Coast ilikuwa na wachezaji wanaocheza soka la kulipwa katika mataifa mbalimbali Africa, Amerika, Asia na Ulaya katika ligi mbalimbali kubwa na ndogo. Katika wachezaji hao ambao wengi wao walikuwa ni wageni machoni mwa Watanzania, walisubiriwa kuona watafanya nini katika…

Read More

Makundi ya WhasApp yalivyogeuka mwiba kwa wanasiasa

Dodoma. Katika zama za sasa za maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano, matumizi ya mitandao ya kijamii ni sehemu muhimu ya maisha ya kila siku ya watu, wanasiasa wakiwamo. WhatsApp, kama moja ya mitandao hiyo, imekuwa jukwaa la mawasiliano ya karibu, mijadala ya kisiasa na hata kampeni za uchaguzi. Hata hivyo, licha ya faida hizo, wanasiasa…

Read More

Aliyeua mtoto wa mdogo wake, ahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Tanga, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Waziri Amiri baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mtoto wa mdogo wake, Athuman Mussa kwa kumkata na panga. Tukio hilo lilitokea Februari 3, 2023 katika Kijiji cha Mziragembei, Kata ya Kwekanga wilayani Lushoto mkoani Tanga, ambapo marehemu alikuwa akijenga kibanda chake…

Read More

Rekodi hizi zinasubiriwa Championship 2024/25

WAKATI Ligi ya Championship ikibakisha raundi tano kwa kila timu, ushindani umekuwa mkubwa kuanzia kwa zinazowania kupanda Ligi Kuu Bara, kushuka daraja na nyingine zinazopigania kuhakikisha zinaendelea kusalia tena msimu ujao. Licha ya kufikia hatua hiyo yenye ushindani na msisimko mkubwa, zipo rekodi mbalimbali za kuvutia zilizowekwa na hadi sasa bado hazijafikiwa, ingawa huenda ikatokea…

Read More

Mkenya Fountain Gate hali tete

HALI ni mbaya kwa Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Mkenya Roberto Matano baada ya juzi kupoteza kwa mabao 3-0, dhidi ya Mashujaa FC kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mkoani Kigoma, ikiwa ni kichapo cha pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara. Kabla ya kichapo hicho, Fountain Gate ilichapwa idadi ya mabao kama hayo 3-0, dhidi ya…

Read More

Dakika 630 zaitenga Coastal na ushindi

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi ana kazi kubwa ya kufanya katika mchezo wa kesho, Jumatatu dhidi ya Yanga kuhakikisha anapata ushindi, huku rekodi za mechi saba zilizopita zikiiweka katika mtego mkubwa. Coastal Union ya Tanga itakuwa mgeni wa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Yanga…

Read More

Damaro aitaka michuano ya kimataifa

KIUNGO wa Singida Black Stars, Mohamed Damaro,22, anaamini klabu yake ina nafasi kubwa ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao, hasa Kombe la Shirikisho Afrika, endapo watamaliza nafasi ya pili au tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara. Kabla ya mechi yao dhidi ya Azam FC (iliyochezwa jana), Singida Black Stars ilikuwa nafasi ya nne…

Read More