RAHABU FREDY WA AZAM MEDIA AFARIKI DUNIA
*** Mwandishi wa habari wa siku nyingi, Rahabu Fredy aliyekuwa Mhariri Mkuu Msaidizi wa Idara ya Habari na Matukio katika kituo cha habari cha Azam Media, amefariki dunia leo April 5, 2025 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu, Rahabu aliyekuwa mke wa aliyekuwa…