Dk Mpango: Afrika iimarishe umoja kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Unguja. Nchi za Afrika zimesisitizwa kuimarisha umoja ili kusukuma mbele ajenda ya pamoja katika kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Pamoja na kuimarisha uwezo wa kutafuta rasilimali za ndani, pia zimetakiwa kuacha kutegemea ufadhili kutoka mataifa makubwa, huku zikiendelea kuathiriwa na athari za mabadiliko hayo. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Aprili 28, 2025 katika mkutano…

Read More

Mageuzi mapya kwa ushirika | Mwananchi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuimarishwa kwa ushirika na matumizi ya Tehama katika uendeshaji wake, ndizo nyenzo zitakazowezesha ukuaji wa sekta hiyo iliyopitia milima na mabonde. Amesema kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 nyuma, sekta hiyo haikuwa ikifanya vizuri, naye akiwa miongoni mwa waliokuwa wanaichukia. Katika kufanikisha uimarishwaji wa ushirika, mkuu…

Read More

BoT yapigia chapuo matumizi kazi za mikopo

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema kuna fursa ya kuendeleza matumizi ya bidhaa za kadi za mikopo, hivyo imehimiza benki nchini kuwekeza zaidi katika ubunifu na elimu kwa wateja. Aidha, BoT imeipongeza Benki ya Absa Tanzania kwa kuzindua (Absa Infinite Card), kadi ya kifahari inayolenga kuwahudumia wateja wa hadhi ya juu kwa…

Read More

Stumai, Shikangwa jino kwa jino kiatu Ligi Kuu

ACHANA na vita ya upachikaji mabao kwa nyota Jentrix Shikangwa wa Simba Queens na Stumai Abdallah (JKT Queens), kingine ni wanalingana kwa mabao ya ugenini. Stumai ndiye kinara wa ufungaji akiweka kambani mabao 26 nyuma yake yupo Shikangwa mwenye 19 katika mechi 14 walizocheza. Washambuliaji hao wanalingana kwa kufunga mechi za ugenini kila mmoja akiweka…

Read More

Kocha JKT ataka rekodi mpya Isamuhyo

LICHA ya Simba kutinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya miaka 32 tangu ilipofanya hivyo kwa kucheza fainali ya Kombe la CAF 1993, lakini hilo wala halijamtisha Kocha Mkuu wa JKT Tanzania, Hamad Ally aliyetamba mechi dhidi ya mnyama anataka rekodi mpya ikiwa nyumbani. JKT itaipokea Simba ikiwa ndio kwanza imetoka kuing’oa Stellenbosch ya…

Read More

SHINDA SIMU MPYA ZA KISASA NA MERIDIANBET!

MERIDIANBET inazidi kuwapa wateja wake burudani ya kipekee! Sasa unayo nafasi ya kipekee ya kuondoka na moja kati ya Samsung A25 mpya kabisa (5x) kupitia promosheni ya kusisimua: Jisajili, Weka Amana, Cheza na Ushinde! Ni rahisi kushiriki: 👉 Jisajili kwenye Meridianbet. 👉 Weka amana kwenye akaunti yako. 👉 Cheza Kasino au kubashiri Michezo yoyote. Kila…

Read More