Wadau wa madini wameendelea kuvutiwa na madini yanayowasilishwa katika Kituo Cha Jemolojia Tanzania (TGC) jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mnada wa madini
Month: April 2025

Dar es Salaam. Chadema bado hapajapoa ndivyo unavyoweza kueleza. Hii ni baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kutengua uteuzi wa Catherine Ruge aliyekuwa Mjumbe

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songea JUKWAA la Wahariri Tanzania(TEF) limemchagua Deodatus Balile kuwa Mwenyekiti wa jukwaa hilo huku Bakari Machumu akichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti. Mwenyekiti Balile

Shinyanga. Meneja wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) LOT 5, kutoka Isaka hadi Mwanza, Mhandisi Christopher Kalisti, amesema kuwa kazi kubwa katika

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amesema licha ya jitihada za kuwainua wanawake kiuchumi kufanikiwa, bado kuna changamoto zinazohitajika kutatuliwa, ili kufungua

Kujihusisha na jamii ya teknolojia sio “nzuri kuwa na” kando kwa watengenezaji sera za utetezi-“ni muhimu sana kuwa na jamii hii inayohusika tangu mwanzo katika

China imeikomoa Marekani kwani imetangaza kuwa itaanza kutoza ushuru wa asilimia 34 kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka Marekani kuanzia Aprili 10, 2025. Hatua

PAMBA Jiji itakuwa inakumbuka kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Tabora United mwaka jana katika mechi ya duru la kwanza ya Ligi Kuu Bara, licha

YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police

Puma Energy Tanzania imeshiriki katika shughuli za za Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani, ambazo ziliongozwa na Waziri wizara