Ripoti maalumu: Mapendekezo kuondoa mvutano wa malipo NHIF -2

Dar es Salaam. Baadhi ya vituo vya afya vikilalamika kucheleweshewa malipo na mengine kukataliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), hivyo kuathiri ukwasi na kushindwa kujiendesha, wadau wanapendekeza namna ya kushughulikia changamoto zilizopo. Kwa mujibu wa wadau waliozungumza na Mwananchi kuna haja ya kupitia sababu za kukataliwa madai na NHIF itoe mrejesho…

Read More

Shambulizi la Russia laua 18 Ukraine, wamo watoto tisa

Kyiv. Mamlaka nchini Ukraine zinasema watu wasiopungua 18, wakiwemo watoto tisa, wameuawa katika shambulio la kombora la Russia kwenye eneo la makazi katika mji wa Kryvyi Rih uliopo katikati ya nchi hiyo. Kwa mujibu wa mamlaka za Ukraine, shambulizi hilo lililotekelezwa jana jioni ni miongoni mwa mashambulizi mabaya zaidi kutekelezwa katika ardhi ya Ukraine tangu…

Read More

DIWANI WA CCM AUAWA KINYAMA NA WATU WASIOJULIKANA!

 By Ngilisho Tv  Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kiziguzigu, Wilaya ya Kakonko Mkoa wa Kigoma, Marehemu Mwalimu Martin Mpemba amefariki usiku wa April 3 katika Kijiji cha Kibingo Kata ya Kiziguzigu baada ya kushambuliwa na mtu asiyejulikana. Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Kigoma, Christopher Palangyo akizungumza na viongozi wa chama na waombolezaji…

Read More

UBALOZI WA TANZANIA UJERUMANI WAPONGEZWA

  NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga (Mb) ameupongeza Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani uliopo jijini Berlin. Mhe. Nderiananga ametoa pongezi hizo hii leo 04 Aprili, 2025 alipotembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya…

Read More

Dube ashtua Yanga, ataka rekodi

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube anakimbiza mwizi kimya kimya kwa kufukuzia rekodi yake mwenyewe licha ya kuwa na msimu bora zaidi ndani ya kikosi cha timu hiyo. Dube alijiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea Azam ambapo msimu wake wa kwanza Ligi Kuu Bara ule wa 2020/21 alifunga mabao 14 hivyo amebakiza mabao matatu…

Read More

Ubingwa Ligi Kuu bado mgumu, mtego upo hapa!

BAADA ya Yanga kupata ushindi wa mabao 3-0, dhidi ya Tabora United hivi karibuni, hakika mechi saba zilizobaki kwa Simba na Yanga zimewekewa mtego wa ubingwa wa Ligi Kuu Bara 2024/2025. Simba haitakuwa na mchezo wowote wa Ligi Kuu kwa mwezi huu wa Aprili, labda kama itatolewa kimataifa na Al Masry, huku kwa upande wa…

Read More

LEMA ATANGAZA UAMUZI MCHUNGU UBUNGE ARUSHA,AJIWEKA MGUU SAWA!

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema. By ngilishonews.com MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema. MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema hatogombania Ubunge katika Jimbo la Arusha kama hakutafanyika mabadiliko ya sheria za mfumo…

Read More