CCM YAMPA HEKO RAIS SAMIA KUHIMIZA WITO WA AMANI

***** Na Mwandishi wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeipongeza hotuba ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan aliyetoa wito muhimu unaowataka watanzania wote kulinda na kutunza Amani ya Taifa lao.  Vile vile CCM kimewashauri watanzania kuanza na kutafakari hatimaye kutekeleza ushauri huo uliotolewa na Mkuu wa nchi na kuufanyia kazi.  Pongezi hizo zimetolewa na Katibu…

Read More

MKE WA MTU AZUA TAFRANI MJI MZIMA!

Mke wa mtu azua tafrani mji mzima By ngilishonews.com Kizaa zaa kilitokea katika hoteli moja maeneo ya mjini  wakati ambapo umati wa watu ulifurika katika hoteli moja mjini humo wakitaka kujionea, Mwanaume na mke waliokua wamenaswa wakifanya tendo la ndoa, nje wa ndoa zao. Kila mtu aliyekuwa eneo hilo alitaka kufika kujionea wapenzi hao wawili…

Read More

DAWA ILIYONISAIDIA KUPATA HUYU DADA NILIYEMFUKUZIA KWA MIAKA!

Dawa iliyonisadia kupata huyu dada niliyemfukuzia kwa miaka By ngilishonews.com Jina langu ni Amoni kutokea Dodoma, tangu kitambo nilikuwa namfuatilia Dada fulani karibu na nyumbani kwetu, nilitamani kabisa kuwa mchumba wake wa maisha lakini mara nyingi nilikuwa mtu muonga hata kuzungumza naye. Alikuwa akijua na kila mara alipita karibu  yangu kwa ajili ya mazungumzo lakini…

Read More

MAKONDA AZINDUA SIKU 10 ZA MOTO TOKOMEZA MIGOGORO ARUSHA,AAGIZA WANAOLALAMIKIWA SANA MAJINA YAO APELEKEWE! WANASHERIA WA SAMIA LEGAL AIDS WAWEKA KAMBI NGARENARO!

By Ngilisho Tv ARUSHA  WAKAZI wa Mkoa wa Arusha wametakiwa kuwasilisha kero Malalamiko yao kuhusu migogoro ambayo imekuwa ikiwasumbua kwa muda mrefu kupita jopo la wanasheria wa kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia Legal Aid waliotua Arusha kwa ajili ya utatuzi wa migogoro hiyo kwa siku 10 mfululizo. Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni…

Read More

AGRA YAWAFUNDA VIJANA NA WANAWAKE KIBIASHARA MIPAKANI,YAWAPA MBINU ZA KIBIASHARA ILI KUNUFAIKA NA BIASHARA ZAO KIMATAIFA!

Na Joseph Ngilisho ARUSHA  WANAWAKE na vijana  wanaojishughulisha na uuzaji wa  bidhaa maeneo ya mipakani  wametakiwa kuzalisha bidhaa zenye  ubora ili waweze kushiriki kikamilifu  katika soko huru la Afrika linalolenga  kuwakwamua kiuchumi.   Aidha katika kukabiliana na vikwazo  visivyo vya kiforodha  wanavyokumbana navyo, sekta ya  umma na sekta binafsi imekutana na  vijana na wanawake wanaofanya  biashara…

Read More

RAIS SAMIA KUZINDUA MAJENGO YA MAHAKAMA JIJINI DODOMA

    Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Aprili 3,2025 kuelekea katika uzinduzi wa majengo ya Mahakama,hafla inayotarajiwa kufanyika Aprili 5,2025 jijini Dodoma.   Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Aprili 3,2025 kuelekea…

Read More