SERIKALI YAKUSUDIA KURATIBU GAZETI LA SERIKALI KIDIJITALI

  Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akizungumza wakati akifungua kikao kazi kilichowashirikisha wadau wa Gazeti la Serikali kilicholenga kupata maoni kuhusu kusanifu na kujenga Mfumo wa Kidijitali wa Maktaba (POPSM e-Library) kilichofanyika jijini Dodoma. Na. Mwandishi Wetu-Dodoma Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi amesema katika kutekeleza…

Read More

MZEE WA MIAKA 60 DNA YAMUUMBUA AHUKUMIWA JELA MIAKA 30,ALIMBAKA MWANAFUNZI NA KUMZALISHA,SHIRIKA LA MEMUTE LAINGILIA KATI LAMREJESHA SHULE AKIWA MAMA, MTUHUMIWA ALIJARIBU KUPELEKA SODA , SUKARI NA KOMDOO!

MAHAKAMA ya  Sekei wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha,imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela,mzee wa miaka 60, Asorael Kalaine Mkazi wa Maruango wilayani humo,mara baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Maruango iliyopo wilayani Arumeru. Kesi hiyo ya kubaka namba 33 ya mwaka…

Read More

KAMATI YA PAC YARIDHISHWA UJENZI BWAWA LA MEMBE

NIRC Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi mradi wa bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma. Kamati hiyo imesema, ujenzi wa bwawa umeendana na thamani ya fedha iliyowekwa. Akizungumza wakati wa ziara ya kamati hiyo katika mradi wa wa bwawa la Membe Mwenyekiti wa…

Read More

HII NI AIBU KUBWA KWA JESHI LA POLISI, ASKARI WAKE WA KIKE AKIWA NA SARE ZA JESHI AKUTWA NA MADUMU AKIIBA MAFUTA BILA WOGA MCHANA KWEUPE -TAZAMA PICHA!

 By Ngilisho Tv Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia askari wa usalama barabarani, WP 8032 PC Victoria, kutoka Wilaya ya Igunga, kwa kushiriki katika uchotaji wa mafuta kutoka kwa lori lililopata ajali.  Tukio hili linazua maswali mengi kuhusu maadili ya kazi ya polisi na usalama wa jamii, huku likikumbusha ajali kubwa ya mafuta iliyotokea…

Read More

WADAU WAITIKIA WITO WA UONGEZAJI THAMANI MADINI NCHINI

  ▪️Ni utekelezaji wa maagizo ya Mh. Rais Dkt. Samia S. Hassan ▪️Kiwanda cha kuchakata madini ya shaba chajengwa Wilayani Chunya, ▪️Serikali yaahidi kuwezesha viwanda zaidi vya uongezaji thamani madini ▪️Wachimbaji wadogo kunufaika na soko la uhakika la Madini Shaba Kufuatia utekelezaji wa Mkakati wa kutosafirisha madini ghafi nje ya Nchi, Serikali yapongeza Wadau kwa…

Read More

MSHUMAA ULIOLETA PENZI JIPYA KWENYE NDOA YETU!

Mshumaa ulioleta penzi jipya kwenye ndoa yetu! By ngilishonews.com Ama kwa kweli uaminifu ni suala ambalo huwa kitu kigumu katika ndoa au mahusiano mengi katika jamii za leo. Watu wengi hujipata kutokuwa waaminifu kwa ajili ya maswala kadhaa kama ukosefu wa mapenzi, ukosefu wa hela kwenye ndoa na hata kuwa na chuki baina ya wapenzi…

Read More

NDERIANANGA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI

****** NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI 03 APRILI, 2025 Matukio katika picha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga ametembelea na kujionesha shughuli zinazotekelezwa na taasisi mbalimbali kuhusu Afa za Watu wenye Ulemavu Duniani wakati wa maonesho yanayoendelea katika Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu wenye Ulemavu (Third…

Read More

DKT KAZOBA MTAALAMU WA TAFITI NA TIBA ATUA KAGERA ,ABAINI WAKAZI KUSUMBULIWA NA KANSA ATIBU WATU SITA WAPONA !

 DAWA YA KANSA (SARATANI) ZA AINA ZOTE YA DAKTARI KAZOBA YATIBU WATU 6 WILAYA YA KARAGWE MKOANI KAGERA By ngilishonews.com Tafiti zinaonyesha asilimia kubwa ya wakazi wanaoishi eneo la Wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera wamekuwa wakisumbuliwa na Changamoto ya ugonjwa wa Kansa Tafiti hizo ambazo tumezifanya Kazoba International tumegundua kuwa eneo hilo linakabiliwa na changamoto…

Read More

NDERIANANGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS IFAD

***** NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bi. Gérardine Mukeshimana, katika kikao cha pembezoni mwa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu Wenye Ulemavu…

Read More