MAAFISA HABARI WA SERIKALI WAPEWA SOMO

***** Na Ester Maile Dodoma   Maafisa Habari wa Serikali  watakiwa kutambua ujio wa Kikao Kazi ni kwa ajili ya kufundwa na kuzingatia yote yatakayoelekezwa na kukumbushwa juu ya utekelezaji wa majukumu yao. ameyanabaisha hayo katibu wa habari,utamaduni, sanaa na michezo Gerson Msigwa wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha 20 cha Maafisa Habari wa Serikali…

Read More

MUME WANGU ALIDAI YUKO SAFARI LAKINI KILICHOTOKEA USIKU HUO KILIKATISGA NDOA YETU KWA NJIA YA KUSHANGAZA!

Mume Wangu Alidai Yuko Safari Lakini Kilichotokea Usiku Huo Kilikatisha Ndoa Yetu Kwa Njia Ya Kushangaza! Nilikuwa mwanamke mwenye furaha, nikiamini ndoa yangu ilikuwa thabiti. Mume wangu, Joseph, alionekana kuwa mwaminifu na mwenye mapenzi ya dhati. Hata hivyo, siku zote kuna kitu ndani yangu kilihisi kuna jambo linanifichwa. Alianza kubadilika simu yake ilikuwa siri, alichelewa…

Read More

WAASI M23 NA DRC KUKUTANA USO KWA USO MJINI DOHA

 DRC, M23 kukutana kwa mara ya kwanza Aprili 9 Doha By ngilishonews.com    Waasi wa M23 Waasi wa M23 wameeleza kuwa pande zote mbili zinatarajia kufanya mazungumzo ya moja kwa moja kwa mara ya kwanza mnamo Aprili 9. Mkutano huo, unaopangwa kufanyika mjini Doha, utakuwa wa kwanza wa aina yake tangu waasi wa M23 walipoiteka…

Read More

MBINU YA KUREJESHA PENZI LA ZAMANI!

Mbinu ya kurejesha penzi la zamani By ngilishonews.com Kwa sasa mimi ni binti wa miaka 27, nilikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Zack, kijanaMtanashati aliyependeza ajabu. Mbali na hilo, alikuwa mtu ambaye anajituma na mwenye bidii katika kazi. Alifanya kazi ya upishi katika Hoteli moja Dar es Salaam, aliwahi kuniambia kuwa utanashati wake ndio uliofanikisha…

Read More

TRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO KWA MIEZI 9 MFULULIZO

 ******* * YAKUSANYA TRILIONI 24.05 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanisi wa asilimia 101.32 ya lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 7.43. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda imeeleza kuwa…

Read More