DKT. NCHIMBI ATUMIA LUGHA LAINI SANA KUJIBU ‘NO REFORM NO ELECTION’ YA CHADEMA

  *Asema CCM inauwaunga mkono wakiamua kususia uchaguzi mkuu *Asisitiza ni kosa kukilazimisha chama cha siasa kushiriki uchaguzi KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Emmanuel Nchimbi ameweka wazi hakuna sababu ya kuilazimisha CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwani vyovyote watakavyoamua iwe kushiriki au kutoshiriki ni sawa. Amesema ni kosa kubwa kukilazimisha chama cha…

Read More

BAADA YA MKE KUPATA KAZI KAMKIMBUA MUME!

Baada ya mke kupata kazi kamkimbia mume By ngilishonews.com Jina langu Juma, Mke wangu hakuwa na kazi yoyote lakini alikuwa tayari kahitimu kutoka katika chuo kikuu na mara nyingi alikuwa akifanya majaribio mbalimbali ya kutafuta kazi bila mafanikio. Licha ya hayo yote, nilikuwa nampenda na kumdhamini ajabu mke wangu kwani nilikuwa tayari kumfanyia lolote. Mshahara…

Read More

ALIYEDAI KUBADILISHIWA MTOTO AANGUA KILIO BAADA YA KUPEWA MAJIBU YA VINA SABA [DNA] ,HOSPITALI YA MT MERU YANAWA MIKONO YABAKI SALAMA,YACHUKUA HATUA KWA NESS MZEMBE AKIONA CHA MOTO!

By Ngilisho Tv-ARUSHA Waliodai kubadilishiwa mtoto waumbuka ,majibu ya DNA haya hapa ! Hatimaye majibu ya vinasaba (DNA) ya watoto watatu waliozaliwa Machi 24, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) yametolewa, huku Neema Kilugala, mkazi wa mtaa wa Ndaravoi, Kata ya Daraja Mbili jijini Arusha,aliyedai kubadilishiwa mtoto akiangua kilio baada ya…

Read More

SERIKALI KUIMARISHA MFUMO WA UTAFITI  KATIKA  HUDUMA ZA AFYA NCHINI

Mganga Mkuu wa Serikali,Dk Grace Maghembe,akizungumza wakati  wa  kongamano la Kisayansi   katika kuelekea Maadhimisho ya   wiki ya Afya Kitaifa 2025 jijini Dodoma . Sehemu ya Washiriki wakisikiliza hotuba ya Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe,(hayupo pichani) wakati akifungua kongamano la Kisayansi  katika kuelekea Maadhimisho ya  wiki ya Afya Kitaifa 2025 kwa niaba ya…

Read More

SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO KUJIENDESHA KWA TIJA -CPA ASHRAPH

………………  Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo wametakiwa kufanya mageuzi katika utendaji kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu, Miongozo na taaluma walizonazo ili kufikia malengo ya Taasisi na kuongeza tija. Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa Shirika hilo, CPA Ashraph Yusuph Abdulkarim wakati alipozungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya ofisi iliyofanyika leo (Aprili…

Read More

MOI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA WIKI YA AFYA KITAIFA DODOMA

***** Na Erick Dilli- DODOMA Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika Wiki ya Afya kitaifa 2025 inayofanyika jijini Dodoma, ambapo wananchi watapa huduma za matibabu ya kibingwa ya mifupa, ubongo, mgongo, mishipa ya fahamu na ushauri wa kitaalam. Uzinduzi wa wiki hiyo umefanyika  leo Ijumaa Aprili 04, 2025 katika ukumbi…

Read More

CCM KINAJIANDAA KIONGANIZESHENI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA

******  Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaendelea na maandalizi ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu kama Katiba na Sheria zinavyoelekeza kila baada ya miaka mitano kutafanyika Uchaguzi Mkuu. Pia CCM kimewataka watanzania kupuuza maneno ya baadhi ya viongozi wa vyama vinavyodai vitazuia uchaguzi mkuu mwaka huu usifanyike kwa utashi…

Read More