Askari wa uhifadhi watakiwa kuepuka migogoro na wananchi

Mwanza. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula amewaagiza askari wa Jeshi la Uhifadhi kuzingatia sera ya ujirani mwema wanapotekeleza majukumu yao, kuepuka migogoro na wananchi wanaoishi jirani na maeneo ya hifadhi. Akizindua Bodi ya Magavana ya Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi jijini Mwanza leo Ijumaa Aprili 4, 2025, amesema kazi ya Jeshi…

Read More

Diwani wa CCM Kakonko auawa akitoka sokoni

Kakonko. Diwani wa CCM Kata ya Kiziguzigu, Mwalimu Martin Mpemba, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa kichwani na kitu chenye ncha kali. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Aprili 3, 2025, katika Kijiji cha Ruyenzi, Kata ya Kiziguzigu, akiwa njiani kurejea nyumbani kutoka sokoni. Mwalimu Mpemba, ambaye alikuwa akiwakilisha CCM katika kata hiyo, anadaiwa kushambuliwa…

Read More

Serikali yapewa ‘nondo’ tano ajira kwa vijana

Dar es Salaam. Kuwekeza katika kilimo cha kisasa na viwanda ni miongoni mwa maeneo matano yaliyoainishwa na wadau, kama muhimu kwa Serikali katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana nchini. Pia, wadau wanasema kwamba utekelezaji wa maeneo hayo unaweza kutoa suluhu ya kudumu ya ajira. Wadau hao wameeleza maeneo hayo leo, Aprili 4, 2025, katika…

Read More

Wananchi wataka ushirikishwaji uboreshaji wa makazi

Dar es Salaam. Wakati utekelezaji wa programu ya kuboresha na kurejesha maeneo ya miji ambayo yameathiriwa na changamoto mbalimbali ukianza, wananchi wametaka kupewa elimu zaidi na kushirikishwa katika mchakato huo. Hayo yameelezwa leo Aprili 4, 2025 na baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Makangira, kata ya Msasani jijini Dar es Salaam walipozungumza na Mwananchi baada…

Read More

Wakulima waiangukia Serikali kuondoa kodi kwenye mifuko

Dodoma. Wakati maandalizi ya bajeti ya mwaka 2025/26 yakiendelea, wakulima wameiangukia Serikali kuweka ruzuku au kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye mifuko ‘kinga njaa’ (hermetic storage bags) kwenye bajeti hiyo, ili kuwaepusha na hasara inayotokana na upotevu wa mazao baada ya mavuno. Mfuko mmoja unauzwa kati ya Sh5,000 hadi 5,500, hivyo imekuwa kikwazo…

Read More

Sillah bado kiduchu atimize ndoto

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gibril Sillah ameendelea kuisogelea ndoto yake ya kumaliza na mabao kuanzia 10  msimu huu, huku akiamini mechi sita zilizosalia atalitimiza hilo. Azam FC imecheza mechi 24 ikishinda 15, sare sita, imefungwa michezo mitatu ikimiliki mabao 38, imefungwa 12 ikiwa na pointi 51, jambo ambalo Sillah anaamini njia ya kufikia malengo yake…

Read More