BUNIFU NA TAFITI ZA NELSON MANDELA KUPATA SOKO USWISI

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Maulilio Kipanyula ( kulia) akimkabidhi zawadi Balozi wa Uswisi nchini Mhe. Nicole Providoli ( kushoto) mara baada ya ziara ya kikazi. ….. TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kushirikiana na Serikali ya Uswisi katika kufanya utafiti na…

Read More

Fei Toto atoa kauli nzito Azam FC

KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku akifichua siri kinachomkwamisha kufunga mabao. Azam ikiwa jijini Mbeya, jana ilifanya kweli kwa kuilaza Ken Gold mabao 2-0 na kubaki nafasi ya tatu na pointi 51, ikisaliwa na michezo sita…

Read More

Mkuu wa Haki za UN anataka uchunguzi wa mauaji ya wafanyikazi wa matibabu – maswala ya ulimwengu

Volker Türk alisema alikuwa na uchungu wa kufupisha baraza hilo tena juu ya “mateso ya janga” ya watu kwenye enclave, akibainisha kuwa “utulivu wa muda wa kusitisha mapigano, ambayo iliwapa Wapalestina wakati wa kupumua, imevunjika.” Aliripoti kuwa tangu 1 Machi, shughuli za jeshi la Israeli zimewauwa zaidi ya Wapalestina 1,200, pamoja na watoto wasiopungua 320,…

Read More

Wadau wa parachichi walia na changamoto za usafishaji

Dodoma. Changamoto ya mifumo ya usafirishaji wa zao la parachichi ambayo inasababisha usafirishaji kuchukua siku 50, imetajwa kuathiri viwango vya ubora vinavyokubalika katika nchi zinazonunua zao hilo. Kabla ya changamoto hiyo, usafirishaji wa zao hilo ulikuwa ukitumia, siku 25 hadi 30 kufika kwenye soko husika la nje ya Tanzania. Hoja hiyo imeibuliwa katika mkutano wa…

Read More

Serengeti Boys yaaga AFCON U17 ikichapwa na Uganda

Kupoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya Uganda jana kumeifanya timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’ kuwa timu ya kwanza kuaga fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wenye umri huo (AFCON U17) zinazoendelea Morocco. Maumivu kwa Serengeti Boys hayajaishia kwa Serengeti Boys kutolewa tu bali pia…

Read More