Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 209
Habari

ZRA yakusanya Sh238 bilioni ikivuka lengo makusanyo robo ya tatu

April 4, 2025 Admin

Unguja. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, imekusanya Sh238.746 bilioni, sawa na ufanisi wa asilimia

Read More
Michezo

Dewji aitangazia vita, Al Masry akianika sababu tatu

April 4, 2025 Admin

Mfadhili wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewataka mashabiki wa timu hiyo kuamini kuwa itapata matokeo mazuri katika mechi ya marudiano dhidi ya Al Masry

Read More
Michezo

Anachokiwaza Fei Toto ndani ya Azam FC

April 4, 2025 Admin

KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku

Read More
Habari

14 wapandishwa kizimbani tuhuma za utapeli wa ajira

April 4, 2025 Admin

Morogoro. Watu 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Mjini Morogoro (Nunge) kwa tuhuma ya kujifanya maofisa wenye mamlaka ya kutoa ajira na kuwakusanya vijana

Read More
Habari

ABSA YAZINDUA MKOPO MPYA WA MALIi ZA KIBIASHARA,SERIKALI YAPONGEZA JITIHADA

April 4, 2025 Admin

 Benki ya Absa Tanzania imezindua rasmi huduma mpya ya kifedha inayojulikana kama Mkopo wa Mali za Kibiashara (Commercial Asset Finance – CAF), hatua ambayo imetajwa

Read More
Habari

Job Ndugai: Safari ya kisiasa ya Spika wa Bunge la 12

April 4, 2025 Admin

Dodoma.  Job Ndugai ni jina lisilopitwa katika historia ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aliwahi kushika nafasi ya Spika wa Bunge la 12,

Read More
Habari

Makada 55 Chadema wajilipua na waraka kupinga kuzuia uchaguzi

April 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Licha ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuweka msimamo wa kuzuia uchaguzi, watia nia 55 wa ubunge maarufu’G-55’

Read More
Habari

Serikali ya Rais Samia imeleta mabadiliko makubwa Buchosa – Video – Global Publishers

April 4, 2025 Admin

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeleta mabadiliko makubwa katika

Read More
Michezo

Minziro: Ni ‘do or die’ dhidi ya Tabora United

April 4, 2025 Admin

Baada ya kuambulia sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Namungo FC katika mchezo uliopita kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Kocha Mkuu wa Pamba

Read More
Habari

Serikali kununua ndege maalumu za utafiti wa madini

April 4, 2025 Admin

Chunya. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali imetenga bajeti kwa ajili ya kutekeleza mkakati wa kununua wa ndege yenye vifaa maalumu vya kufanyia tafiti

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 208 209 210 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.