ELIMU YA GESI ASILIA KWENYE MAGARI YAWAVUTIA WENGI MAONESHO YA WIKI YA USALAMA MAHALA PA KAZI, SINGIDA.

Katika kuadhimisha Wiki ya Usalama Mahala pa Kazi, kampuni ya GASCO imeendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya matumizi salama na nafuu ya gesi asilia, hasa kwenye vyombo vya moto.  Katika banda la GASCO, wananchi walijitokeza kwa wingi kujifunza zaidi kuhusu teknolojia ya kutumia Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) kama mbadala wa mafuta ya petroli na…

Read More

Hatima usikilizwaji kesi ya Lissu kujulikana Mei 6

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Mei 6, 2025 kutoa uamuzi iwapo kesi ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa YouTube inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, iwapo itaendeshwa kwa njia ya mtandao au mshtakiwa huyo ataletwa mahakamani hapo. Uamuzi huo umetolewa leo, Jumatatu Aprili 28,…

Read More

Taasisi ya Jakaya Mriosho Kikwete Foundation na NEXLAW Waungana Kuinua Wajasiriamali Vijana Tanzania

Mtendaji Mkuu wa JMKF Bi. Vanessa Anyoti na Mshirika Mwandamizi wa NEXLAW, Profesa Saudin Mwakaje wakionesha hati baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) yenye lengo la kuimarisha na kukuza ujasiriamali wa vijana nchini Tanzania kupitia Mpango wa JMKF wa Kuharakisha Wavumbuzi wa Kijamii wa Kijana Leo (Kijana Leo Social Innovator Accelerator) leo Aprili 28,…

Read More

MNGEZA B BINGWA WA ERASTO CUP MUHEZA, HALMASHAURI KUWAUNGA MKONO MADIWANI WATAKAOANZISHA LIGI KWENYE MAENEO YAO

Na Oscar Assenga,MUHEZA. HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimbali katika maeneo yao kwa lengo la kuhamasisha michezo na kufungua fursa za ajira kupitia sekta hiyo. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza Issa Msumari wakati Fainali ya Ligi ya…

Read More

MCL inavyoimarisha afya, usalama kwa wafanyakazi

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Afya na Usalama leo Jumatatu, Aprili 28, 2025, Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imeeleza namna inavyotekeleza kwa vitendo usalama na afya kwa wafanyakazi wake mahala pa kazi. MCL inayojishughulisha na uzalishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen na MwanaSpoti, uandaaji wa Jukwaa la Fikra na usafirishaji…

Read More

Airtel Spam Alert-Kataa Matapeli, Kuongeza Usalama wa Wateja dhidi ya Matapeli wa Simu

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, akizindua huduma huduma maalum ya kutoa taarifa kuhusu utapeli kupitia teknolojia ya Akili Mnemba, uzinduzi huo umefanyika jijini Dar Es Salaam leo Aprili 28, 2025. Baadhi ya wadau mbalimbali wa mawasiliano waliohudhuria uzinduzi wa huduma huduma maalum ya kutoa taarifa kuhusu utapeli kupitia teknolojia ya Akili…

Read More

MAPEPELE AMKABIDHI KIJITI OSEA.

…………… Na Sixmund Begashe Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Nteghenjwa Osea amekabidhiwa rasmi ofisi na aliekuwa Mkuu wa Kitengo hicho Bw. John Mapepele ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI, ili kuendelea kuwatumiaka…

Read More

Ubalozi wa Uswisi Tanzania Kukuza Uwekezaji na Ubunifu kupitia Kongamano la TIIF 2025

Balozi wa Usisi Nchini Tanzania, Didier Chassot akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano lililokusanya wawekezaji wa Kimataifa wa Uswisi nchini Tanzania. Kongamano hilo limefunguliwa leo Aprili 28, 2025 jijini Dar es Salaam. KWA zaidi ya miongo mitatu, Tanzania imekuwa ikiimarisha mazingira yake ya biashara kupitia mageuzi ya kiuchumi na sera za kuvutia uwekezaji, ikiwa ni…

Read More