Katika kuadhimisha Wiki ya Usalama Mahala pa Kazi, kampuni ya GASCO imeendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya matumizi salama na nafuu ya gesi asilia,
Month: April 2025

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Mei 6, 2025 kutoa uamuzi iwapo kesi ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa YouTube

Mtaalamu wa Afya na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Aristides Medard (Kushoto) akifafanua jinsi mgodi huo wa Barrick unavyofanya shughuli za uchimbaji kwa kutumia

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma (RC), Rosemary Senyamule amesema kwa namna Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alivyokuwa mpinzani wa ushirika na baadaye

Taasisi ya Jakaya Mriosho Kikwete Foundation na NEXLAW Waungana Kuinua Wajasiriamali Vijana Tanzania
Mtendaji Mkuu wa JMKF Bi. Vanessa Anyoti na Mshirika Mwandamizi wa NEXLAW, Profesa Saudin Mwakaje wakionesha hati baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) yenye

Na Oscar Assenga,MUHEZA. HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimbali katika maeneo yao kwa lengo

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Afya na Usalama leo Jumatatu, Aprili 28, 2025, Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imeeleza namna inavyotekeleza

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, akizindua huduma huduma maalum ya kutoa taarifa kuhusu utapeli kupitia teknolojia ya Akili Mnemba, uzinduzi huo

…………… Na Sixmund Begashe Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Nteghenjwa Osea amekabidhiwa rasmi ofisi na aliekuwa Mkuu wa

Balozi wa Usisi Nchini Tanzania, Didier Chassot akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano lililokusanya wawekezaji wa Kimataifa wa Uswisi nchini Tanzania. Kongamano hilo limefunguliwa leo