Leonardo Santos Simão aliangazia kiwango cha shida inayoathiri sehemu za Sahel, ambapo vikundi vya kigaidi vinaendelea kusababisha shida, haswa katika Bonde la Ziwa la Chad
Month: April 2025

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mwisho wa kutumia matoleo ya fedha ilizoziainisha (pichani) ni kesho Jumamosi Aprili 5, 2025 huku ikitoa

Mwanza. Wataalamu wa afya, lishe na mazingira wametaja ulaji wa chakula kinachofaa, kudhibiti msongo wa mawazo, kufanya uchunguzi wa afya ya mwili mara kwa mara,

Kisukari aina ya kwanza ni changamoto kubwa kwa watoto na vijana wengi duniani. Mara nyingi, wenye aina ya kwanza ya kisukari wanakabiliana na changamoto za

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya vituo vya afya vikilalamika kucheleweshewa malipo na mengine kukataliwa hivyo kushindwa kujiendesha, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya

Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewataka wanachama wa chama hicho na wadau wengine wa siasa kutokilazimisha Chama cha Demokrasia

Kocha Mkuu wa Tabora United, Genesis Mang’ombe amesema hatakubali kuwa mnyonge na kuruhusu kikosi chake kucheza mchezo wa nne bila kupata ushindi huku akitaja mambo

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imezindua rasmi kanuni za uongezaji virutubishi katika vyakula hatua inayolenga kuboresha afya na lishe ya Watanzania. Akizungumza wakati

NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, na Uratibu, Mheshimiwa Ummy Nderiananga amesema ni

Mwamvua Mwinyi, Kisarawe Aprili 3, 2025 Mwenge wa Uhuru umepitia miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 1.197, ikiwa ni