Kwa KenGold ngoja tuone | Mwanaspoti

LICHA ya KenGold kuendelea kuwa kwenye hatari ya kushuka daraja haijawa ishu kwa kiungo Zawadi Mauya anayeamini bado timu hiyo ina nafasi kubwa ya kusalia Ligi Kuu. Mauya amesema kinachotakiwa kwa sasa wao kama wachezaji kuongeza umakini katika kusaka ushindi kwenye mechi zilizosalia. Timu hiyo ambayo jana ilicheza dhidi ya Azam kwenye Uwanja wa Sokoine…

Read More

Chama la Wana vita bado inaendelea

LICHA ya Stand United ‘Chama la Wana’, kuchapwa mabao 2-0 na Mbeya City Machi 30, 2025, kocha wa timu hiyo, Juma Masoud amesema kichapo hicho kwao hakijawatoa katika mbio za kuwania tiketi ya kukirejesha Ligi Kuu Bara msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Masoud alisema anachokitaka ni kuona wachezaji wanaendelea kupambana zaidi uwanjani kwa kila mchezo…

Read More

Nishati Uhamisho wa Shtaka dhidi ya Greenpeace ni jaribio la kumwaga rasilimali zetu na Ukimya wa Ukimya – Maswala ya Ulimwenguni

Daniel Simons na Civicus Ijumaa, Aprili 04, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Aprili 04 (IPS) – Civicus anaongea na Daniel Simons, Ushauri Mwandamizi wa Ushauri wa Kimkakati wa Ulinzi wa Greenpeace International, juu ya kesi iliyoletwa na kampuni ya mafuta na gesi dhidi ya Greenpeace na athari zake pana kwa asasi za kiraia. Greenpeace…

Read More

MHE. NDERIANANGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS IFAD

   NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bi. Gérardine Mukeshimana, katika kikao cha pembezoni mwa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu Wenye Ulemavu…

Read More

Benki ya NBC Yaingia Makubaliano na TAFINA Kuchochea Ukuaji wa Teknlojia Utoaji Huduma Za Fedha.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Umoja wa Makampuni yanayotoa Huduma za Kifedha kupitia Teknolojia Tanzania (TAFINA) ikiwa ni muendelezo wa jitihada za benki hiyo kuongeza kasi ya ukuaji wa teknolojia katika utoaji wa huduma za kifedha sambamba na kuchochea uchumi jumuishi kupitia huduma za kifedha zilizorahisishwa kupitia teknolojia. Hafla…

Read More

Apps and Girls na Yas Tanzania Waadhimisha Mahafali ya Wahitimu wa Jovia 2025

 Apps and Girls kwa kushirikiana na Yas Tanzania wameadhimisha mahafali ya kundi lingine la wahitimu wa programu ya Jovia, mpango unaolenga kuwawezesha wasichana kupitia teknolojia na ujasiriamali. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2019, Jovia imekuwa jukwaa muhimu kwa wasichana kupata ujuzi wa kidigitali, maarifa ya biashara, na ushauri, hatua inayochangia kupunguza pengo la kijinsia katika nyanja…

Read More

Aziz Ki afichua kinachomkwamisha Yanga

STEPHANE Aziz Ki wa msimu uliopita, huwezi kumlinganisha na wa msimu huu, ukiangalia namba zake katika Ligi Kuu Bara zimeshuka sana huku mwenyewe akiweka wazi nini sababu ya yote hayo. Kiungo huyo ambaye msimu uliopita alimaliza kinara wa mabao kwenye Ligi Kuu Bara akifunga 21 na asisti nane, msimu huu hadi sasa Yanga ikiwa imecheza…

Read More

Kocha Singida Black Stars amsifu Sowah

BAADA ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesifu juhudi zilizooneshwa na wachezaji wake katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Jumatano hii kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Manyara. Mbali na kupongeza wachezaji kwa ujumla, Ouma ameonekana kufurahishwa zaidi na mwendelezo mzuri wa…

Read More