Chadema kinawaka, watia nia njia panda

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewaweka njiapanda watia nia katika uchaguzi mkuu ujao baada ya kusisitiza msimamo wake wa hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi kushinikiza mifumo ya uchaguzi kurekebishwa. Watia nia wa ubunge na udiwani wametakiwa kuchagua ama kukihama chama hicho kwenda kugombea kupitia vyama vingine au kuungana na viongozi kupigania mabadiliko…

Read More

Serikali kuanza ujenzi SGR ya Jiji la Dar, Dodoma

Morogoro. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema Serikali ipo mbioni kuanza ujenzi wa reli ya Jiji la Dar es Salaam (Commuter Rail Network – CRN) ili kuboresha mfumo wa usafiri wa umma katika jiji hilo. Akizungumza leo Aprili 3, 2025, wakati wa semina ya menejimenti ya TRC na waandishi wa…

Read More

Wafanyabiashara wa samaki sasa kuuza kidijitali

Dar es Salaam. Teknolojia inaendelea kukua katika sekta ya uvuvi, na sasa biashara ya samaki na mazao yake inaweza kufanywa kidijitali kupitia mfumo wa Vua Uza na Nunua Samaki Kidijitali wa PFZ. Mfumo huu wa programu tumizi unawawezesha wavuvi kupata taarifa muhimu kama vile hali ya hewa, maeneo yenye wingi wa samaki wa aina fulani,…

Read More

Udom yabuni mfumo wa kujipima changamoto afya akili

Dodoma. Mfumo unaotumia Akili Unde (AI), utakaomwezesha mtu kujipima na kubaini changamoto za afya akili kwa kutumia simu au kompyuta na kisha kupata ushauri wa kitaalamu, utazinduliwa Juni mwaka huu. Katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2022/23,  alisema utambuzi  wa wagonjwa unaofanywa unalenga zaidi watumiaji wa dawa za…

Read More

Hatima kaya 171 zilizokataa uthamini Kigoma kujulikana Aprili 25

Kigoma. Serikali Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imesema haitofanya uthamini kwa kaya 171 zilizogomea kwa awamu mbili tofauti ili kupisha upanuzi wa hifadhi ya milima ya Mahale inayoendeshwa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), utakaosaidia kulinda ikolojia ya wanyama aina ya sokwe wanaopatikana katika hifadhi hiyo. Pia, imesisitiza kuwachukulia hatua za kisheria wananchi…

Read More

Mashine zinazozunguka za jua husaidia wanawake wa India kuokoa muda na kupata zaidi-maswala ya ulimwengu

Jacinta Maslai akitumia mashine yake ya kuzunguka ya jua-nguvu nyumbani kwake katika kijiji cha Patharkhmah katika Ri Bhoi wilaya ya Meghalaya. Mikopo: Sanskrita Bharadwaj/IPS na Sanskrita Bharadwaj (Warmawasaw, Meghalaya, India) Alhamisi, Aprili 03, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Warmawasaw, Meghalaya, India, Aprili 03 (IPS) – Katika Meghalaya ya India, ukuzaji wa silkworm na weave…

Read More

Pacome apata jeuri ya ubingwa

KIWANGO bora kinachoendelea kuonyeshwa na Yanga huku ikipata ushindi mfululizo ugenini na nyumbani, imempa jeuri kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Yanga, Pacome Zouzoua ambaye ameliambia Mwanaspoti kuwa hawaoni timu ya kuwazuia kutetea taji la Ligi Kuu Bara msimu huu. Pacome ambaye amehusika kwenye mabao 15 msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara akifunga saba na…

Read More