Sillah, Saadun wailiza KenGold, Taoussi achekelea

Harakati za kujinasua mkiani kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara zimeendelea kuwa ngumu kwa KenGold baada ya kukumbana na kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Azam FC. Katika mchezo wa leo Aprili 3, 2025 uliopigwa Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, licha ya hali ya hewa kutokuwa nzuri sana kutokana na mvua iliyonyesha, lakini wenyeji walikubali…

Read More

Dk Nchimbi atoa maagizo wizara ya Bashe, wakala wa mbegu

Namtumbo. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameiagiza Wizara ya Kilimo kuongeza kasi ya utafiti na uzalishaji mbegu za alizeti ili wananchi na Taifa liondokane na uagizaji mafuta ya kupikia nje ya nchi. Mtendaji mkuu huyo wa CCM ameutaka Wakala wa Mbegu za Kilimo Tanzania (ASA) kuhakikisha inafungua maduka maeneo mbalimbali…

Read More

Wasira: Historia imkumbuke Karume kama mpambanaji

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema historia ya Zanzibar haiwezi kuandikwa bila kumtaja muasisi wa taifa hilo, Abeid Amani Karume, au kuyataja mambo aliyoyafanya. Amesema Abeid Amani Karume alipigania uhuru wa taifa hilo, kuondoa dhuluma iliyokithiri na kuleta haki kwa wote. Wasira amesisitiza kuwa Karume anatakiwa akumbukwe kama mpambanaji…

Read More

Majaliwa azindua kamati kuu mbili kuboresha biashara

Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua kamati kuu mbili zilizopewa jukumu la kuandaa awamu ya pili ya Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (Mkumbi II) ili kuendelea kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini, Kuandaliwa kwa mpango huu kunalenga kuangalia changamoto zinazojitokeza katika mazingira ya biashara, kurahisisha kanuni na sheria…

Read More

ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUHUDHURIA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI ISRAEL

Na Pamela Mollel,Arusha Zaidi yawafanyabiashara na wajasiriamali 100 kutoka nchini wanatarajia kuhudhuria jukwaa maalumu la kimataifa linalohusu maswala ya uwekezaji nchini Israel kwa ajili kubadilishana uzoefu na fursa za miradi ya uwekezaji zinazoweza kutekezwa na wataalamu hao katoka nchi hizo mbili. Wafanyabiashara hao wanatarajia kukutana katika mji wa Tel-aviv nchini Israel june 8 hadi 14,…

Read More

Ishu ya Ally Kamwe yaibua mitazamo tofauti

Wanasheria wamekuwa na mitazamo tofauti katika sakata la kukamatwa Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe huku wakigusia kilichowahi kutokea Mkuu wa Idara ya Habari wa Simba kwa Ahmed Ally. Maofisa habari hao kwa nyakati tofauti, wameingia kwenye sintofahamu na wakuu wa mikoa ya Mwanza, Said Mtanda na Paul Chacha wa Tabora huku Bodi…

Read More

Watano wajeruhiwa tingatinga likiparamia nyumba za watu

Geita. Watu watano akiwemo mtoto mwenye umri wa wiki mbili wamenusurika kufa baada ya mtambo aina ya tingatinga (bulldozer) kuparamia nyumba tatu za wananchi katika kitongoji cha Isangiro kata ya Rwamgasa wilayani Geitaza usiku wa kuamkia leo Aprili 3, 2025 wakiwa wamelala. Mtambo huo unaomilikiwa na kampuni ya chimbaji madini ya dhahabu ya Bucreef  unaelezwa…

Read More