Harakati za kujinasua mkiani kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara zimeendelea kuwa ngumu kwa KenGold baada ya kukumbana na kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya
Month: April 2025

Namtumbo. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameiagiza Wizara ya Kilimo kuongeza kasi ya utafiti na uzalishaji mbegu za alizeti ili

Dar es Saaam. “Ilikuwa jana Jumatano ya Aprili 2, 2025 saa 10 jioni mjukuu wangu alipokatishwa uhai na mtoto wa mpangaji wangu. Tukio hili siwezi

Geita. Watu watano akiwemo mtoto mwenye umri wa wiki mbili wamenusurika kufa baada ya mtambo aina ya tingatinga (bulldozer) kuparamia nyumba tatu za wananchi katika

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema historia ya Zanzibar haiwezi kuandikwa bila kumtaja muasisi wa taifa hilo, Abeid Amani

Mwanga. Wakati watu 14 wakifariki dunia huku wengine 117 wakijeruhiwa kwa ajali ndani ya siku nne, mkoani Kilimanjaro, mashuhuda wa ajali hizo wamesema wembamba wa

Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua kamati kuu mbili zilizopewa jukumu la kuandaa awamu ya pili ya Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara

Na Pamela Mollel,Arusha Zaidi yawafanyabiashara na wajasiriamali 100 kutoka nchini wanatarajia kuhudhuria jukwaa maalumu la kimataifa linalohusu maswala ya uwekezaji nchini Israel kwa ajili kubadilishana

Wanasheria wamekuwa na mitazamo tofauti katika sakata la kukamatwa Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe huku wakigusia kilichowahi kutokea Mkuu wa Idara ya

Geita. Watu watano akiwemo mtoto mwenye umri wa wiki mbili wamenusurika kufa baada ya mtambo aina ya tingatinga (bulldozer) kuparamia nyumba tatu za wananchi katika