MHE. NDERIANANGA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI

    NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI 03 APRILI, 2025 Matukio katika picha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga ametembelea na kujionesha shughuli zinazotekelezwa na taasisi mbalimbali kuhusu Afa za Watu wenye Ulemavu Duniani wakati wa maonesho yanayoendelea katika Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu wenye Ulemavu…

Read More

Mikoko kukauka Kijichi, mafuta ya Tazama yatajwa

Dar es Salaam. Katika hali isiyo ya kawaida mikoko iliyopo Kijichi, eneo ambalo Mto Mzinga unaingia Bahari ya Hindi, wilayani Temeke imekauka. Ingawa ukubwa wa eneo lililoathiriwa haujatambulika, uchunguzi umebaini maeneo mengi pembezoni mwa mto huo yenye uoto wa mikoko yameathirika. Si mikoko pekee iliyokauka, katika baadhi ya maeneo huwezi kuona uoto, viumbe wa majini…

Read More

Watatu wa familia moja wafariki dunia Chato

Geita. Watu watatu, akiwemo mtoto mdogo, wanaosadikiwa kuwa ni wa familia moja, wamepoteza maisha baada ya kugongwa na gari katika barabara ya Mganza – Chato, eneo la Nyabilele, Kata ya Mganza, wilayani Chato, Mkoa wa Geita. Watu hao, waliokuwa wakitembea kwa miguu, ni mwanaume pamoja na mwanamke aliyekuwa amebeba mtoto mgongoni. Hata hivyo, majina yao…

Read More

JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA (TEF) KUFANYA MKUTANO MAALUMU KUELEKEA UCHAGUZI WA VIONGOZI APRILI 5, 2025 SONGEA

 Jukwaa la Wahariri Tanzania linatarajia kufanya mkutano mkuu maalumu kuelekea uchaguzi wa viongozi wa jukwaa hilo mnamo Aprili 5, 2025, mjini Songea. Mkutano huu utakuwa muhimu kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wa jukwaa na pia ni sehemu ya mchakato wa kukuza na kuimarisha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Benki ya Exim Tanzania Yaboresha Uchukuaji Mikopo kwa Watumishi wa Umma Kupitia ‘Utumishi Portal’

Katika hatua ya kimkakati kusaidia wafanyakazi wa serikali kufikia malengo yao ya kifedha, benki ya Exim Tanzania inajivunia kutangaza maboresho katika huduma yake ya “Wafanyakazi Loan,” ambayo sasa inajumuisha suluhisho la uchukuaji wa mikopo. Benki ya Exim imekuwa taasisi ya kwanza ya kifedha nchini Tanzania kuwezesha uchukuaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa sekta ya umma…

Read More

Dereva ajali iliyoua saba akamatwa, waliofariki watajwa

Mwanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia dereva wa basi la Kampuni ya Mvungi, lililopata ajali na kusababisha vifo vya watu saba na majeruhi 42. Abiria hao walikuwa wakisafiri kutoka Ugweno, Wilaya ya Mwanga, kuelekea jijini Dar es Salaam. Ajali hiyo imetokea leo, Alhamisi, Aprili 3, 2025, saa moja asubuhi, katika eneo la Kikweni,…

Read More