Dar es Salaam. Katibu wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Julius Mwita ameondolewa katika wadhifa huo kwa madai kwamba
Month: April 2025

Hatifungani ni mojawapo ya njia salama za uwekezaji zinazoweza kumhakikishia mwekezaji mapato ya uhakika. Licha ya kuwa njia ya kuhifadhi mtaji, hatifungani zinaweza pia kutumika

Ingawa watu wenye ulemavu wanawakilisha asilimia 16 ya idadi ya watu ulimwenguni, bado wanapata usawa wa kiafya, pamoja na vifo vya mapema, matokeo duni ya

Washington DC. Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuzilima vikwazo nchi zote duniani ikiwemo kutangaza ushuru mpya mkubwa kwa mataifa washirika wa kibiashara wa taifa

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kumshikilia Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe kwa tuhuma za kuwachafua viongozi wa serikali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,

Na mwandishi weru Leo Aprili 02, 2025, Benki ya NMB imedhamini na kushiriki uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kitaifa uliofanyika katika viwanja

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeandaa ziara maalum kwa Jumuiya ya wanadiplomasia nchini kutembelea vivutio vya

· Stanbic Tanzania imethibitisha tena dhamira yake ya kusaidia kukuza biashara, kufadhili miundombinu, na ushirikiano wa kikanda wakati wa huu nyeti wa usafirishaji shehena

Wadau mbalimbali na Watanzania wameombwa kujitokeza kwa wingi kudhamini Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu litakalofanyika katika mikoa 26 nchini Akizungumza na waandishi wa Habari April

ILI kutinga nusu fainali Simba inahitaji ushindi wa tofauti ya mabao matatu Kwa Mkapa Jumatano ijayo baada ya kufungwa 2-0 ugenini dhidi ya Al Masry