Hizi hapa njia za kupiga pesa kupitia hatifungani

Hatifungani ni mojawapo ya njia salama za uwekezaji zinazoweza kumhakikishia mwekezaji mapato ya uhakika. Licha ya kuwa njia ya kuhifadhi mtaji, hatifungani zinaweza pia kutumika kwa mbinu mbalimbali ili kuongeza kipato. Hapa kuna njia kuu nne za kufanikisha hilo: 1. Fursa za tofauti ya bei Manufaa yatokanayo na tofauti ya bei (Arbitrage) ni mbinu ya…

Read More

Naibu Mkuu wa UN – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa watu wenye ulemavu wanawakilisha asilimia 16 ya idadi ya watu ulimwenguni, bado wanapata usawa wa kiafya, pamoja na vifo vya mapema, matokeo duni ya kiafya, na hatari kubwa ya magonjwa ikilinganishwa na idadi ya watu. Kushughulikia Mkutano wa Ulemavu wa Ulimwenguni Huko Berlin katika ujumbe wa video Jumatatu, Bi Mohammed Alisema hiyo Kutoa fursa…

Read More

RPC Tabora athibitisha Kamwe kushikiliwa

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kumshikilia Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe kwa tuhuma za kuwachafua viongozi wa serikali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha Kamwe anashikiliwa kuanzia jana usiku, kwa tuhuma hizo. Abwao amesema bado Kamwe yuko kizuizini akiendelea na mahojiano juu ya tuhuma hizo na taarifa zaidi zitatolewa baadaye. “Kweli…

Read More

WANADIPLOMASIA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI.

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeandaa ziara maalum kwa Jumuiya ya wanadiplomasia nchini kutembelea vivutio vya utalii kwa madhumuni ya kutangaza sekta ya utalii nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa aliwambia waandishi habari…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA YAJITOLEA KUSAIDIA KUKUZA BIASHARA NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WAKATI WA MKUTANO WA EAST AFRICA CARGO CONNECT SUMMIT (EACCS) 2025

  ·      Stanbic Tanzania imethibitisha tena dhamira yake ya kusaidia kukuza biashara, kufadhili miundombinu, na ushirikiano wa kikanda wakati wa huu nyeti wa usafirishaji shehena na uchukuzi kwa ujumla. ·      Benki hii ya tatu kwa ukubwa wa faida inayo masuluhisho ya kifedha ya kuboresha ufanisi wa uchukuzi, kupanua wigo wa masoko, na kuhamasisha fursa za…

Read More

WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI MKUU MWAKA HUU

Wadau mbalimbali na Watanzania wameombwa kujitokeza kwa wingi kudhamini Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu litakalofanyika katika mikoa 26 nchini Akizungumza na waandishi wa Habari April 2,2025 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion , Alex Msama amesema tamasha hilo halitakuwa na kingilo ili kila mtanzania aweze kushiriki kwenye kuliombea taifa huku maandilizi…

Read More