Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 219
Michezo

Tanzania 19 yaifunga Uganda Kriketi

April 3, 2025 Admin

Tanzania imeanza vyema mbio za kusaka tiketi ya kucheza Kombe la Dunia kwa vijana wa chini ya miaka 19 baada ya kuifunga Uganda kwa mikimbio

Read More
Michezo

Vicky, Madina vitani kesho Kenya Ladies Open

April 3, 2025 Admin

Baada ya kushindwa kumaliza mashindano ya Kimataifa ya gofu ya wanawake nchini Afrika Kusini mwezi Februari mwa mwaka huu, Vicky Elias amepania kufuta makosa yake

Read More
Habari

Dereva Wa Lori La Mafuta Amuibia Bosi Wake Akidanganya Amepata Ajali -Video – Global Publishers

April 3, 2025 Admin

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia dereva aliyefahamika kwa jina la Ernest Okulo (40), mkazi wa Chanika, Dar es Salaam kwa tuhuma za kumuibia mwajiri

Read More
Kimataifa

Ukatili wa kijinsia unaotumika kama silaha ya ugaidi dhidi ya wanawake na wasichana – maswala ya ulimwengu

April 3, 2025 Admin

Ni karibu miaka miwili tangu vita vya kikatili kati ya vikosi vya serikali ya jeshi huko Khartoum na wanamgambo wa haraka wa msaada walipoibuka, na

Read More
Michezo

KenGold, Kagera Sugar na mtihani mzito nyumbani

April 3, 2025 Admin

RAUNDI ya 24 ya Ligi Kuu Bara inaendelea Alhamisi hii kwa michezo mitatu kupigwa huku miwili ikiwa ya mapema kuanzia saa 10:00 jioni na mmoja

Read More
Michezo

Kapombe aitaka ndoo afrika | Mwanaspoti

April 3, 2025 Admin

BEKI mahiri wa Simba, Shomary Kapombe ameweka wazi kwamba ndoto yake kubwa kwa sasa ni kutwaa ubingwa wa michuano ya kimataifa, iwe Ligi ya Mabingwa

Read More
Kimataifa

UN inahitaji ulinzi wa haraka kwa wanawake na wasichana walio katika mazingira magumu – maswala ya ulimwengu

April 3, 2025 Admin

Kama misaada ya dharura inapoingia, wanawake na wasichana ambao tayari walikuwa katika mazingira magumu kwa sababu ya miaka ya migogoro, uhamishaji na kutokuwa na utulivu

Read More
Habari

Wajibu wa mwanaume kununua zawadi kwa mwenza wake

April 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati wanaume wakiona ni wajibu kutoa zawadi kwa wanawake, wao wanasema hilo linatokana na utamaduni uliojengeka kwa muda, hivyo kuwa kama mazoea.

Read More
Habari

SERIKALI YATOA MWEZI MMOJA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE 2024 KUBADILISHA MACHAGUO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO

April 2, 2025 Admin

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi itakayomwandaa kuwa na

Read More
Habari

Mtifuano mpya Ma-RC waongeza joto majimboni

April 2, 2025 Admin

Dar es Salaam.  Unakumbuka Machi 11, 2025, Rais Samia Suluhu Hassan alipoagiza wateule wake, wakiwemo wakuu wa mikoa wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali, kutoa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 218 219 220 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.