Tanzania 19 yaifunga Uganda Kriketi

Tanzania imeanza vyema mbio za kusaka tiketi ya kucheza Kombe la Dunia kwa vijana wa chini ya miaka 19 baada ya kuifunga Uganda kwa mikimbio 73 katika mchezo uliopigwa jijini Lagos, Nigeria siku ya Jumapili. Ari na kujituma katika mazoezi yaliyowachukua miezi mitatu ndiyo kiini cha vijana wa Kitanzania kushinda mchezo huu. Tanzania ndiyo walioanza…

Read More

Vicky, Madina vitani kesho Kenya Ladies Open

Baada ya kushindwa kumaliza mashindano ya Kimataifa ya gofu ya wanawake nchini Afrika Kusini mwezi Februari mwa mwaka huu, Vicky Elias amepania kufuta makosa yake katika mashindano ya wazi ya wanawake yanayoanza kesho jijini Nairobi, Kenya. Viwanja vya Ruiru katika viunga vya Narobi ndiyo shuhuda wa michuano hii ya kimataifa ya Wanawake ambayo yatachezwa kwa…

Read More

KenGold, Kagera Sugar na mtihani mzito nyumbani

RAUNDI ya 24 ya Ligi Kuu Bara inaendelea Alhamisi hii kwa michezo mitatu kupigwa huku miwili ikiwa ya mapema kuanzia saa 10:00 jioni na mmoja saa 1:00 usiku. Katika michezo hiyo ya leo, zinasakwa pointi za kujiweka katika mazingira mazuri kwenye msimamo wa ligi hiyo kwani atakayepoteza kuna hatari ya kujiondoa kwenye malengo yake. Kati…

Read More

Kapombe aitaka ndoo afrika | Mwanaspoti

BEKI mahiri wa Simba, Shomary Kapombe ameweka wazi kwamba ndoto yake kubwa kwa sasa ni kutwaa ubingwa wa michuano ya kimataifa, iwe Ligi ya Mabingwa Afrika au Kombe la Shirikisho. Kapombe amecheza mara kadhaa katika hatua za juu za michuano ya kimataifa akifika robo fainali mara tatu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (misimu ya 2020–21,…

Read More

UN inahitaji ulinzi wa haraka kwa wanawake na wasichana walio katika mazingira magumu – maswala ya ulimwengu

Kama misaada ya dharura inapoingia, wanawake na wasichana ambao tayari walikuwa katika mazingira magumu kwa sababu ya miaka ya migogoro, uhamishaji na kutokuwa na utulivu wa kiuchumi, sasa wanakabiliwa na hatari kubwa zaidi kutoka Vurugu za msingi wa kijinsia na unyonyaji. Kulingana kwa umoja unaoongozwa na un kujibu shida. “Wasichana wana hatari kubwa, haswa wanapotengwa…

Read More

Wajibu wa mwanaume kununua zawadi kwa mwenza wake

Dar es Salaam. Wakati wanaume wakiona ni wajibu kutoa zawadi kwa wanawake, wao wanasema hilo linatokana na utamaduni uliojengeka kwa muda, hivyo kuwa kama mazoea. Mbali ya hilo, baadhi ya wanawake wanasema isiwe mazoea ya kupokea pekee, bali pia nao watoe, huku ikishauriwa zawadi zitolewe kwa nyakati maalumu kama vile katika sherehe za kuzaliwa ili…

Read More

SERIKALI YATOA MWEZI MMOJA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE 2024 KUBADILISHA MACHAGUO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi itakayomwandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yao ya baadae. Utaratibu huo umeanza Machi 31 hadi Aprili 30 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa Habari leo tarehe 02.04.2025 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi,…

Read More

Mtifuano mpya Ma-RC waongeza joto majimboni

Dar es Salaam.  Unakumbuka Machi 11, 2025, Rais Samia Suluhu Hassan alipoagiza wateule wake, wakiwemo wakuu wa mikoa wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali, kutoa taarifa mapema, ili nafasi zao ziweze kujazwa kwa wakati? Sasa hali hiyo inajidhihirisha wazi, kwani baadhi ya viongozi hao, hasa wakuu wa mikoa, wanatajwa kuanza harakati za kuwania ubunge katika…

Read More