Simba kuzoa mabilioni fainali Shirikisho Afrika

Simba imeandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kutinga mara nyingi fainali za mashindano ya klabu Afrika baada ya jana, Aprili 28 kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ugenini dhidi ya Stellenbosch huko Afrika Kusini na kwa kutinga hatua hiyo ina uhakika wa kupata fedha za maana kutoka…

Read More

Kibano kwa wageni leseni ndogo za madini

Baada ya malalamiko ya muda mrefu, Serikali kupitia Wizara ya Madini imetunga kanuni za msaada wa kiufundi katika leseni ndogo za uchimbaji wa madini, ambapo zitaratibu ushiriki wa wageni katika leseni ndogo za uchimbaji wa madini (PML). Kwa mujibu wa kifungu cha 8 cha Sheria ya Madini sura ya 123, kimezitamka PML kuwa ni maalumu…

Read More

Beki Yanga Princess bado anajifunza

LICHA ya kutopata nafasi kwenye kikosi cha Yanga Princess, lakini beki wa kulia, Lucy Pajero amesema anajifunza vitu vingi akiwa benchi. Beki huyo alisajiliwa msimu 2022/23 akitokea The Tigers Queens iliyoshuka daraja msimu huo. Tangu amesajiliwa Yanga amekuwa akipata nafasi chache za kucheza tangu kocha Mzambia, Charles Haalubono na sasa Edna Lema ‘Mourinho’. Akizungumza na…

Read More

Mzenji ajipa matumaini Transit Camp

KOCHA wa Transit Camp, Mzanzibar Ramadhan Ahmada Idd amesema ushindi wa kikosi hicho wa mabao 4-1, dhidi ya TMA FC ya Arusha umewapa matumaini makubwa ya kuipigania timu hiyo, ili kuondokana na janga la kucheza ‘Play-Off’. Ahmada alisema wapinzani wao wanawapa presha kutokana na kutopishana pia pointi nyingi, ingawa kumekuwa na mwenendo mzuri wa kikosi…

Read More