TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO

  KLABU ya Simba imeshindwa kutamba ugenini katika hatua ya robo fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Al Masry ya nchini Misri baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 katika mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Suez nchini humo. Katika mchezo huo licha ya kuutawala mchezo kwa kiwango kikubwa, Simba haikufanikiwa kupata bao katika nafasi…

Read More

Waliofanya usaili ajira za TRA matokeo kutoka Aprili 25

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30, 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 baada ya kuwasilishwa na mshauri elekezi Aprili 23, 2025. Akizungumzia mchakato huo leo Jumatano Aprili 2, 2025 Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na…

Read More

MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na Mshauri elekezi NBAA Aprili 23, mwaka huu. Akizungumzia mchakato huo wa ajira za TRA leo tarehe…

Read More

Utawala unazuia misaada, kuagiza mgomo wa hewa katika mshtuko wa myanmar-maswala ya ulimwengu

Wafanyikazi wa uokoaji wanatafuta kumfungulia mwanamke mjamzito aliyevutwa katika magofu ya Sky Villa huko Mandalay, Myanmar ya Kati. Mikopo: Mwandishi wa IPS na Guy Dinmore (London/Mandalay) Jumatano, Aprili 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari London/Mandalay, Aprili 2 (IPS) – Kuongeza matarajio ya kukata tamaa ya kupata waokoaji, wafanyikazi wa uokoaji kutoka Myanmar na Uturuki…

Read More

SIMBA SC MAMBO MAGUMU KIMATAIFA, YACHAPWA 2-0 UGENINI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Simba imeshindwa kutamba ugenini katika hatua ya robo fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Al Masry ya nchini Misri baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 katika mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Suez nchini humo. Katika mchezo huo licha ya kuutawala mchezo kwa kiwango kikubwa, Simba haikufanikiwa…

Read More

Utafiti kubaini aina mpya za samaki

Unguja. Meli ya utafiti wa bahari na samaki, Dk Fridtjof Nansen kutoka Norway, inatarajiwa kuanza utafiti wake nchini. Utafiti huo unalenga kubaini aina mpya za samaki, hatua ambayo itasaidia Serikali kuelekeza nguvu katika rasilimali hizo na kuongeza tija katika uchumi wa buluu. Katika utafiti wa mwaka 2023, watafiti waligundua aina 20 za samaki ambazo hazikuwahi…

Read More