Safari ya Pamba Jiji kutoka nafasi za chini na kusogea juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara bado haijawa rahisi, kwani leo imeshindwa kufurukuta nyumbani
Month: April 2025

Katika tukio la kushangaza Kevin Ouma ameuawa kwa kile kilichotajwa kugombea mke wa mtu.

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV JAJI wa Mahakama Kuu Dodoma Amiri Mruma amelishauri Baraza la Masoko ya Mitaji kuhakikisha kuwa linajisimamia kwa uhuru katika utendaji wake

MABINGWA watetezi wa wa Kombe la Muungano, Simba wanatarajia kushiriki mashindano hayo yanayotarajia kuanza Aprili 21 hadi 27, mwaka huu, Zanzibar. Mbali na Simba, timu

Dar es Salaam. Ili kulinda afya ya kinywa na meno wataalamu wa afya wanasema mtu hatakiwi kusukutua na maji baada ya kupiga mswaki na kutema

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU Yanga imeendelea kung’ang’ania kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania bara mara baada ya kuichapa Tabora United 3-0. Katika mchezo huo

KATIKA harakati za kuhakikisha nidhamu inaimarika ndani ya kikosi, uongozi wa Singida Black Stars umeweka utaratibu wa adhabu mbalimbali kwa wachezaji wanaokiuka misingi na taratibu

Dakika 90 zimemalizika katika Dimba la Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ambapo Yanga wameilowesha Tabora United kwa jumla ya mabao 3-0.

Dar es Salaam. Mgombea wa Tanzania kwa nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Afrika, Profesa Mohammed Janabi, amewasilisha maono

Safari za utalii huwa zinanoga sana haswa mnapokuwa na vibe la kutosha, Meridianbet inakupeleka kutalii ukiwa na waongozaji mahari kwenye mchezo wao mpya wa kasino