JAJI MAHAKAMA KUU ALISHAURI BARAZA MASOKO YA MITAJI KUWA HURU ,KUTENDA HAKI KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV JAJI wa Mahakama Kuu Dodoma Amiri Mruma amelishauri Baraza la Masoko ya Mitaji kuhakikisha kuwa linajisimamia kwa uhuru katika utendaji wake ili wananchi waweze kupata haki na kuwekeza zaidi. Ameongeza kwamba kuwa ili uchumi wa taifa ukue, ni lazima wawekezaji wahakikishiwe kuwa haki zao zinalindwa, hivyo baraza linapaswa kuwa huru bila…

Read More

Simba, Yanga kukipiga Zanzibar | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa wa Kombe la Muungano, Simba wanatarajia kushiriki mashindano hayo yanayotarajia kuanza Aprili 21 hadi 27, mwaka huu, Zanzibar. Mbali na Simba, timu nyingine kutoka Bara zinazotarajia kushiriki mashindano hayo ni Yanga, Azam na Coastal Union, huku Zanzibar ikiwakilishwa na  JKU, KMKM, KVZ na Zimamoto. Mashindano hayo yanatarajia kushirikisha timu nne kutoka Bara…

Read More

Mtaalamu: Ukipiga mswaki usisukutue na maji

Dar es Salaam. Ili kulinda afya ya kinywa na meno wataalamu wa afya wanasema mtu hatakiwi kusukutua na maji baada ya kupiga mswaki na kutema povu la dawa, kwani kufanya hivyo unapungiza ulinzi. Pia, mtu anatakiwa kupiga mswaki baada ya kunywa chai asubuhi na si kabla ya kunywa cha na jioni kabla ya kulala. Hayo…

Read More

Ukizingua Singida BS, faini laki 5

KATIKA harakati za kuhakikisha nidhamu inaimarika ndani ya kikosi, uongozi wa Singida Black Stars umeweka utaratibu wa adhabu mbalimbali kwa wachezaji wanaokiuka misingi na taratibu za timu hiyo.  Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Jonathan Kasano amefichua kuwa kila mchezaji atakayekiuka taratibu zilizowekwa ikiwamo kuchelewa mazoezini au makubaliano atakatwa Dola 200 (takribani Sh528,491) kutoka kwenye mshahara. …

Read More