Kiungo Azam aibua matumaini mapya

BAADA ya awali kuelezwa huenda kiungo wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atakosa mechi zote za Ligi Kuu Bara zilizobaki, taarifa mpya ni kwamba anaweza kuziwahi zile za kumalizia msimu. Kiungo huyo aliumia mfupa mdogo wa kidole kidogo cha mguu na kufanyiwa upasuaji mdogo ikitazamiwa majeraha yake yatapona kuanzia wiki ya sita tangu kuanza kwa matibabu….

Read More

Watuhumiwa wa utapeli mbaroni, vijana 399 waokolewa

Morogoro. Katika msako maalumu ulioendeshwa na  Jeshi la Polisi mkoani wa Morogoro katika kukabiliana na wimbi la matapeli wa mitandaoni, vijana 399 wameokolewa kutoka mikononi mwa matapeli huku watu 19 wanaojifanya viongozi wa makampuni mbalimbali wameshikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na utapeli huo. Katika taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa Morogoro, Alex Mkama aliyoitoa leo…

Read More

Yajue mabadiliko yaliyotikisa Bunge la 12

Dodoma. Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 utaanza Aprili 8, 2025, jijini Dodoma. Ni mkutano wa mwisho katika uhai wa Bunge la 12 chini ya Spika Dk Tulia Ackson na Naibu wake, Mussa Zungu, pamoja na wenyeviti watatu. Katika mkutano huu wa mwisho wa uhai wa Bunge la Tanzania, kwa uzoefu, wabunge hupitisha miswada…

Read More

Waliomuua, kukata uke wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Geita. Methali ya kusema “ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga” inaonekana kutimia baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, kuwatia hatiani na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa watatu waliohusika katika mauaji ya Joyce Lundeheka (51). Washtakiwa hao walikutwa na hatia ya kumuua Joyce kwa kumkata na kitu chenye ncha kali, kisha kukata sehemu za…

Read More

Ajinyonga siku moja baada ya kutoka polisi

Shinyanga. Mkazi wa kata ya Ndembezi iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Athuman Idd (35) amekutwa amejinyonga katika kata ya Kolandoto, siku moja baada ya kuachiwa kutoka Polisi. Hayo yameelezwa leo Aprili 02, 2025 na Mwenyekiti wa Mtaa wa Ndembezi, Mariam Mdoe akibainisha kuwa tukio hilo limetokea baada ya marehemu kutoka Polisi, “Mke wa marehemu…

Read More

Hivi ndivyo unavyopaswa kumsaidia mwenye usonji

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameshauri njia mbalimbali za kumsaidia mgonjwa wa usonji, ikiwa ni pamoja na kumpeleka kufanyiwa uchunguzi wa kina ili kubaini na kutibu tatizo hilo. Usonji, au Autism Spectrum Disorder (ASD)  ni hali ya ukuaji wa ubongo inayojumuisha changamoto katika maeneo ya mwingiliano wa kijamii, mawasiliano na tabia zinazojirudia. Hali hii…

Read More

NCHIMBI ATUA MASASI KUELEKEA TUNDURU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametua Uwanja wa Ndege wa Masasi, mkoani Mtwara, akiwa safarini kuelekea Tunduru, mkoani Ruvuma, tayari kuanza ziara yake ya siku 5. Uwanjani hapo, Balozi Nchimbi amepokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mtwara, Ndugu Saidi Musa…

Read More

NICE TO MEET YOU THAMTHILIA YA TAIFA,MWENDO WA KUBUSTI TU

BONGOMUVI tumepata Heshima Kwa Kuendelea Kupewa sapoti ya Wadau wa tasnia ya Sanaa tusiibeze tupambane Kuhakikisha tunajiaminisha. Akizungumza kauli hiyo Msanii wa Filamu nchini Jimmy Mafufu amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametutoa Kimaso maso Kwa kuipa thamani Tasnia hii Kwa Kushiriki Kama Muhusika Mkuu katika Filamu ya “The Royal Tour ” hivyo…

Read More