Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 223
Habari

Kifo katibu wa UWT Mbeya, wabunge wamlilia wakieleza ni pigo kuelekea uchaguzi mkuu

April 2, 2025 Admin

Mbeya. Wakati mwili wa  aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Mkoa wa Mbeya, Lucia Sule (33), ukiagwa katika kiwanja cha

Read More
Michezo

Kiungo Azam aibua matumaini mapya

April 2, 2025 Admin

BAADA ya awali kuelezwa huenda kiungo wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atakosa mechi zote za Ligi Kuu Bara zilizobaki, taarifa mpya ni kwamba anaweza kuziwahi

Read More
Habari

Watuhumiwa wa utapeli mbaroni, vijana 399 waokolewa

April 2, 2025 Admin

Morogoro. Katika msako maalumu ulioendeshwa na  Jeshi la Polisi mkoani wa Morogoro katika kukabiliana na wimbi la matapeli wa mitandaoni, vijana 399 wameokolewa kutoka mikononi

Read More
Habari

Muuguzi Mount Meru asimamishwa sakata la ‘mgonjwa’ kubadilishiwa mtoto

April 2, 2025 Admin

Arusha. Sakata la mkazi wa Daraja Mbili, jijini Arusha Neema Kilugala aliyedai kubadilishiwa mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, limechukua

Read More
Habari

Yajue mabadiliko yaliyotikisa Bunge la 12

April 2, 2025 Admin

Dodoma. Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 utaanza Aprili 8, 2025, jijini Dodoma. Ni mkutano wa mwisho katika uhai wa Bunge la 12 chini

Read More
Habari

Waliomuua, kukata uke wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

April 2, 2025 Admin

Geita. Methali ya kusema “ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga” inaonekana kutimia baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, kuwatia hatiani na kuwahukumu kunyongwa

Read More
Habari

Ajinyonga siku moja baada ya kutoka polisi

April 2, 2025 Admin

Shinyanga. Mkazi wa kata ya Ndembezi iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Athuman Idd (35) amekutwa amejinyonga katika kata ya Kolandoto, siku moja baada ya

Read More
Habari

Hivi ndivyo unavyopaswa kumsaidia mwenye usonji

April 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameshauri njia mbalimbali za kumsaidia mgonjwa wa usonji, ikiwa ni pamoja na kumpeleka kufanyiwa uchunguzi wa kina ili kubaini

Read More
Habari

NCHIMBI ATUA MASASI KUELEKEA TUNDURU

April 2, 2025 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametua Uwanja wa Ndege wa Masasi, mkoani Mtwara, akiwa safarini kuelekea Tunduru, mkoani

Read More
Burudani

NICE TO MEET YOU THAMTHILIA YA TAIFA,MWENDO WA KUBUSTI TU

April 2, 2025 Admin

BONGOMUVI tumepata Heshima Kwa Kuendelea Kupewa sapoti ya Wadau wa tasnia ya Sanaa tusiibeze tupambane Kuhakikisha tunajiaminisha. Akizungumza kauli hiyo Msanii wa Filamu nchini Jimmy

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 222 223 224 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.