Mbeya. Wakati mwili wa aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Mkoa wa Mbeya, Lucia Sule (33), ukiagwa katika kiwanja cha
Month: April 2025

BAADA ya awali kuelezwa huenda kiungo wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atakosa mechi zote za Ligi Kuu Bara zilizobaki, taarifa mpya ni kwamba anaweza kuziwahi

Morogoro. Katika msako maalumu ulioendeshwa na Jeshi la Polisi mkoani wa Morogoro katika kukabiliana na wimbi la matapeli wa mitandaoni, vijana 399 wameokolewa kutoka mikononi

Arusha. Sakata la mkazi wa Daraja Mbili, jijini Arusha Neema Kilugala aliyedai kubadilishiwa mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, limechukua

Dodoma. Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 utaanza Aprili 8, 2025, jijini Dodoma. Ni mkutano wa mwisho katika uhai wa Bunge la 12 chini

Geita. Methali ya kusema “ukiua kwa upanga, utakufa kwa upanga” inaonekana kutimia baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, kuwatia hatiani na kuwahukumu kunyongwa

Shinyanga. Mkazi wa kata ya Ndembezi iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Athuman Idd (35) amekutwa amejinyonga katika kata ya Kolandoto, siku moja baada ya

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameshauri njia mbalimbali za kumsaidia mgonjwa wa usonji, ikiwa ni pamoja na kumpeleka kufanyiwa uchunguzi wa kina ili kubaini

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametua Uwanja wa Ndege wa Masasi, mkoani Mtwara, akiwa safarini kuelekea Tunduru, mkoani

BONGOMUVI tumepata Heshima Kwa Kuendelea Kupewa sapoti ya Wadau wa tasnia ya Sanaa tusiibeze tupambane Kuhakikisha tunajiaminisha. Akizungumza kauli hiyo Msanii wa Filamu nchini Jimmy