Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 224
Habari

Raia watatu wa Marekani wafutiwa hukumu ya kifo DRC, yumo mtoto wa Malanga

April 2, 2025 Admin

Kinshasa. Mahakama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imebatilisha hukumu ya kifo waliyopewa raia watatu wa Marekani kwa makosa ya jinai, ugaidi na kujaribu

Read More
Habari

Mtifuano wa Rais Ruto, Gachagua waanza upya

April 2, 2025 Admin

Nairobi. Mtifuano wa Rais William Ruto na aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, ni kama umeanza upya baada ya kiongozi huyo wa nchi kutoa tuhuma nyingine

Read More
Habari

No reform No Election kurindima Kanda ya Kusini kuanzia Aprili 4, 2025

April 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kadri joto la uchaguzi wa mwaka 2025 linavyozidi kupanda, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na kampeni yake ya No Reform

Read More
Habari

Hatima watia nia ubunge, udiwani Chadema kueleweka kesho

April 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Msimamo wa ama kuendelea kugombea au kuweka rehani ndoto za kuwania ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu kwa makada wa

Read More
Habari

Mashambulizi ya Marekani yaua wanne Yemen, Wahouthi watishia kulipiza

April 2, 2025 Admin

San’aa. Shambulizi lililolofanywa kwa ndege ya kijeshi ya Marekani nchini Yemen limesabababisha vifo vya watu wanne huku kadhaa wakijeruhiwa. Al Jazeera imeripoti leo Jumatano Aprili

Read More
Habari

Elon Musk atangaza kuachana na Doge ifikapo Mei mwaka huu

April 2, 2025 Admin

Marekani. Elon Musk, mmoja wa wafanyabiashara wakubwa duniani na mkuu wa kampuni ya Tesla, amekuwa gumzo hivi karibuni baada ya kutangaza nia yake ya kujitoa

Read More
Habari

Walioshika hatima ya Mpina kurudi mjengoni hawa hapa

April 2, 2025 Admin

Hatima ya mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuendelea kuliwakilisha jimbo hilo iko mikononi mwa wananchi kutokana na vita kali katika jimbo hilo, ambapo mwanasiasa

Read More
Kimataifa

Kuanguka kwa Kusitisha kwa Gaza na Athari zake mbaya kwa Wanawake na Wasichana – Maswala ya Ulimwenguni

April 2, 2025 Admin

Je! UN inasaidiaje raia huko Gaza? Mikopo: UNICEF/Abed Zagout Maoni na Maryse Guimond (Yerusalemu) Jumatano, Aprili 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari JERUSALEM, Aprili

Read More
Habari

Dk Nchimbi kuanza ziara Ruvuma, mgeni rasmi mkutano wa wahariri

April 2, 2025 Admin

Masasi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi leo Jumatano, Aprili 2, 2025 anaanza ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Ruvuma.

Read More
Habari

FYATU MFYATUZI: Wamefyatuka, wanafyatuana mbele ya mafyatu wengine!

April 2, 2025 Admin

Juzi tulishangaa sana. Mwe! Nani angeamini kuwa mafyatu wanene na wanono wangefyatukiana na kufyatuana hadharani? Unene kweli taabu, japo una raha ya kula bila kutoa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 223 224 225 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.