Mtifuano wa Rais Ruto, Gachagua waanza upya

Nairobi. Mtifuano wa Rais William Ruto na aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, ni kama umeanza upya baada ya kiongozi huyo wa nchi kutoa tuhuma nyingine dhidi ya Gachagua, ikiwamo madai ya malipo ya Sh10 bilioni. Gachagua, ambaye Oktoba mwaka jana aliondolewa na Bunge la Seneti kwenye nafasi ya Naibu Rais kutokana na tuhuma za ufisadi…

Read More

Walioshika hatima ya Mpina kurudi mjengoni hawa hapa

Hatima ya mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuendelea kuliwakilisha jimbo hilo iko mikononi mwa wananchi kutokana na vita kali katika jimbo hilo, ambapo mwanasiasa huyo ameonekana kukubalika zaidi kwa wananchi, lakini hakubaliki kwa viongozi wengine wa chama katika mkoa huo. Mpina amekuwa mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2005 na mwishoni mwa Juni 2025,…

Read More