Kinshasa. Mahakama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imebatilisha hukumu ya kifo waliyopewa raia watatu wa Marekani kwa makosa ya jinai, ugaidi na kujaribu
Month: April 2025

Nairobi. Mtifuano wa Rais William Ruto na aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, ni kama umeanza upya baada ya kiongozi huyo wa nchi kutoa tuhuma nyingine

Dar es Salaam. Kadri joto la uchaguzi wa mwaka 2025 linavyozidi kupanda, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea na kampeni yake ya No Reform

Dar es Salaam. Msimamo wa ama kuendelea kugombea au kuweka rehani ndoto za kuwania ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu kwa makada wa

San’aa. Shambulizi lililolofanywa kwa ndege ya kijeshi ya Marekani nchini Yemen limesabababisha vifo vya watu wanne huku kadhaa wakijeruhiwa. Al Jazeera imeripoti leo Jumatano Aprili

Marekani. Elon Musk, mmoja wa wafanyabiashara wakubwa duniani na mkuu wa kampuni ya Tesla, amekuwa gumzo hivi karibuni baada ya kutangaza nia yake ya kujitoa

Hatima ya mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuendelea kuliwakilisha jimbo hilo iko mikononi mwa wananchi kutokana na vita kali katika jimbo hilo, ambapo mwanasiasa

Je! UN inasaidiaje raia huko Gaza? Mikopo: UNICEF/Abed Zagout Maoni na Maryse Guimond (Yerusalemu) Jumatano, Aprili 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari JERUSALEM, Aprili

Masasi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi leo Jumatano, Aprili 2, 2025 anaanza ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Ruvuma.

Juzi tulishangaa sana. Mwe! Nani angeamini kuwa mafyatu wanene na wanono wangefyatukiana na kufyatuana hadharani? Unene kweli taabu, japo una raha ya kula bila kutoa