Ilikojificha siri ya mageuzi kisiasa

Dar es Salaam. Mageuzi ya mfumo wa kisiasa yatakayohusisha mabadiliko ya kisheria, sera na Katiba kwa ujumla wake, limekuwa hitaji la muda mrefu kwa baadhi ya wadau wa siasa na vyama vya upinzani. Mitazamo ya vyama vya upinzani ni kuwa, mabadiliko hayo yatatoa uwanja sawa wa mapambano katika chaguzi na hivyo, kuwa turufu ya ushindi…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Kazi na utu inampambanua Samia kwenye njia za Magufuli

Kaulimbiu za kampeni ni silaha yenye nguvu kwa chama cha siasa au mgombea. Donald Trump alijitengenezea mtaji mkubwa haraka, alipoinuka na kaulimbiu, “Make America Great Again” – “Fanya Marekani Iwe Kuu Tena”. Barack Obama, alipokuwa anawania urais wa Marekani mwaka 2008, alitumia kaulimbiu ya “Hope” – “Matumaini.” Hata hivyo, umma ulichukua maneno yake, “Yes We…

Read More

Kumekucha Kibaha, Mwenge ukiwashwa leo

Kibaha.Wakati uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa ukitarajia kufanyika leo Aprili 2,2025  mjini Kibaha Mkoa wa Pwani, shamrashamra za tukio hilo zimepamba moto na kusimamisha baadhi ya shughuli mjini hapa. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani,  mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo anatarajia kuwa Makamu wa Rais, Dk…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Taka ni fursa itumike

Kuna baadhi ya tungo za muziki zinafikirisha sana. Vijana wawili wa zamani waliuliza kwenye utunzi wao: “Ingekuwa vipi kama pumzi ingeuzwa buku?” Ni swali fupi lakini tafakuri yake inaishi tangu wakati huo na itaendelea kudumu mpaka vizazi vijavyo. Inaakisi maisha ya uhalisia, na ina majibu tofauti kulingana na kina cha tafakari ya mtu anayejibu. Vijana…

Read More

Ijue Katiba ya JMT kwa jicho la mtunga Katiba

Leo naendelea na mfululizo wa makala zangu elimishi kuhusu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), nikilielekeza jicho langu kwa Bunge. Kwa mujibu wa Ibara ya 62 ya Katiba, JMT itakuwa na Bunge ambalo litaundwa na sehemu mbili: Rais na Wabunge. Hii ina maana kwamba, japo Bunge ni mhimili unaojitegemea, Rais wa Tanzania bado…

Read More

Bei ya Mafuta bado moto, Dola yatajwa

Dar es Salaam. Huenda kuongezeka kwa wastani wa gharama za kubadilisha fedha za kigeni kwa asilimia 1.91, Aprili 2025 ikawa sababu ya bei za bidhaa za mafuta kupanda kwa watumiaji wa rejareja nchini. Kwa sababu, mafuta yanapanda nchini wakati gharama za uagizaji zikipungua kwa viwango tofauti na hata bei yake katika soko la dunia ikishuka….

Read More

Jean Baleke anukia AmaZulu FC

KUNA uwezekano mkubwa wa straika wa zamani wa Simba na Yanga, Jean Baleke akajiunga na AmaZulu FC ya Afrika Kusini, baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina yake na  uongozi wa timu hiyo kuhitaji huduma yake. Taarifa kutoka kwa watu wake wa karibu zinasema kilichobakia ni Baleke kusaini mkataba huo, kwani kila kitu kimekamilia kwa  asilimia…

Read More

Josiah, Ongala nani atatokelezea? | Mwanaspoti

POINTI 18 na nafasi ya 15 iliopo Tanzania Prisons, inamfanya kocha wa timu hiyo Amani Josiah kuwa na hesabu kali dhidi ya KMC kwani ikishinda mchezo wa Jumatano hii itapanda hadi nafasi ya 14 iliopo Kagera Sugar yenye alama 19. Endapo Prisons ikiifunga KMC yenye pointi 24 na ipo nafasi ya 11 itafikisha pointi 21…

Read More

Kauli ya Kagoma kwa Simba usiku

LICHA ya kutokuwa na uzoefu mkubwa kimataifa timu yake ikicheza mchezo wa kwanza hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, kiungo Yusuph Kagoma amewatoa hofu wanasimba. Kikosi cha Simba ambacho kilitua Misri Ijumaa ya wiki hii tayari kwa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho Afrika mkondo wa kwanza dhidi ya Al Masry hatua ya…

Read More

Mechi nne za kimkakati Ligi Kuu Bara

MECHI nne za Ligi Kuu Bara zitapigwa Jumatano hii kwenye viwanja tofauti zikiwa na vita tatu, kisasi, ubingwa na kujiweka pazuri. Pamba na Namungo zitavaana jijini Mwanza, KMC wakikwaana na Prisons Dar es Salaam. Hizo mbili kitakwimu na jinsi msimamo wa Ligi ulivyo ni mechi za kujinusuru na upepo wa kwenda na maji. Kila moja…

Read More