Sakata la Dabi: CAS kunaunguruma, kesi ya msingi ipo

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi ya Michezo CAS imeanza kufanya mambo yake ikiwasiliana rasmi na wahusika wakuu kesi ya klabu ya Yanga iliyofungua shtaka ikipinga pamoja na mambo mengine kuahirishwa kwa dabi ya Kariakoo Machi 8. Kikanuni mawasiliano hayo yanamaanisha kuna kesi ya msingi baada ya kuiridhidha CAS na ndio sababu ya kuwasiliana na watajwa…

Read More

MENEJIMENTI YA SUA YAWAFUTURISHA JUMUIYA YA CHUO HICHO

FARIDA MANGUBE, MOROGORO Menejimenti ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) imeandaa futari maalum kwa Wanajumuiya wa Kiislamu wa Chuo hicho ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mshikamano na mahusiano bora kati ya wafanyakazi na wanafunzi. Hafla hiyo, imefanyika Katika Kampasi Kuu ya Edward Moringe iliyopo Manispaa ya Morogoro ilihudhuriwa na viongozi wa Baraza Kuu…

Read More

SERIKALI YAIONGEZEA OSHA WATUMISHI KUIMARISHA UTENDAJI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Mary Maganga akihutubia katika Kikao cha Nne cha Baraza la Tano la Wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha Mkoani Pwani Machi 29, 2025. Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi…

Read More