Unguja. Katika kukuza na kuwaendeleza wabunifu wa kidijitali na wajasirimali, vinajengwa vituo 10 vya bunifu nchini vitakavyogharimu Sh15 bilioni. Kati ya hivyo, vinane vitakuwa ni
Month: April 2025

Na John Walter -Babati Wananchi wa Tarafa ya Mbugwe, wilayani Babati, mkoani Manyara, wameeleza kilio chao mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya

Unguja. Tanzania ikiwa nchi inayohusika na mkataba wa Afrika wa haki za binadamu na wanawake, imesema kutoa taarifa ya utekelezaji wa mkataba huo kunajenga uwazi,

Na Chedaiwe Msuya, WF, Mwanza. Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeendelea kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wa makundi mbalimbali katika Mkoa wa Mwanza, hatua

Unguja. Ili kukuza uchumi wa kidijitali, Serikali ya Tanzania imeendelea kuchukua hatua madhubuti kwa kusaini makubaliano (MoU) ya ujenzi wa kituo cha kukuza ubunifu na

NA WILLIUM PAUL, SAME. WATU sita ambao ni Wanakwaya wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Chome wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wamefariki

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kudumisha amani, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Amesema kila

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeonesha mshikamano na jamii kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira

Moshi/Dar. Mjadala wa ukomo kwa nafasi ya ubunge wa jimbo, umeanza kupamba moto huku baadhi ya wasomi na wananchi wakiikumbuka Rasimu ya Katiba ya Tume

*Ni katika muendelezo wa kampeni ya elimu kwa umma kuhusu Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri Chalinze mkoani Pwani *NSSF yaahidi