Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 227
Habari

Vituo 10 vya bunifu kujengwa kwa gharama ya Sh15 bilioni

April 1, 2025 Admin

Unguja. Katika kukuza na kuwaendeleza wabunifu wa kidijitali na wajasirimali, vinajengwa vituo 10 vya bunifu nchini vitakavyogharimu Sh15 bilioni. Kati ya hivyo, vinane vitakuwa ni

Read More
Habari

WANANCHI BABATI WALIA WIZI WA MIFUGO.

April 1, 2025 Admin

Na John Walter -Babati Wananchi wa Tarafa ya Mbugwe, wilayani Babati, mkoani Manyara, wameeleza kilio chao mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya

Read More
Habari

Wajifungia kupitia rasimu utekelezaji mkataba wa haki za binadamu

April 1, 2025 Admin

Unguja. Tanzania ikiwa nchi inayohusika na mkataba wa Afrika wa haki za binadamu na wanawake, imesema kutoa taarifa ya utekelezaji wa mkataba huo kunajenga uwazi,

Read More
Habari

UWEKEZAJI SAHIHI NA AKIBA ENDELEVU: NGUZO YA MAFANIKIO KWA WANANCHI WA MWANZA

April 1, 2025 Admin

Na Chedaiwe Msuya, WF, Mwanza. Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeendelea kutoa  elimu ya fedha kwa wananchi wa makundi mbalimbali katika Mkoa wa Mwanza, hatua

Read More
Habari

Serikali yakoleza kasi kuelekea uchumi wa kidijitali Zanzibar

April 1, 2025 Admin

Unguja. Ili kukuza uchumi wa kidijitali, Serikali ya Tanzania imeendelea kuchukua hatua madhubuti kwa kusaini makubaliano (MoU) ya ujenzi wa kituo cha kukuza ubunifu na

Read More
Habari

WANAKWAYA SITA WAFARIKI DUNIA WAKIENDA KUINJILISHA INJILI..

April 1, 2025 Admin

NA WILLIUM PAUL, SAME. WATU sita ambao ni Wanakwaya wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Chome wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wamefariki

Read More
Habari

Rais Mwinyi ahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba

April 1, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kudumisha amani, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Amesema kila

Read More
Habari

TRA Yatoa Msaada kwa Vituo vya Kulelea Watoto Yatima na Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi

April 1, 2025 Admin

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeonesha mshikamano na jamii kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira

Read More
Habari

Ukomo, elimu nafasi ya ubunge mjadala mzito

April 1, 2025 Admin

Moshi/Dar. Mjadala wa ukomo kwa nafasi ya ubunge wa jimbo, umeanza kupamba moto huku baadhi ya wasomi na wananchi wakiikumbuka Rasimu ya Katiba ya Tume

Read More
Habari

KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WANANCHI WALIOJIAJIRI KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA NSSF

April 1, 2025 Admin

*Ni katika muendelezo wa kampeni ya elimu kwa umma kuhusu Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri Chalinze mkoani Pwani *NSSF yaahidi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 226 227 228 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.