Babati. Watendaji wa vijiji na Kata wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wanaokiuka taratibu za kisheria katika masuala ya ardhi na kusababisha kuchochea migogoro ya
Month: April 2025

–Serikali kupitia TPDC imetenga Shilingi Bilioni 5.3 kwa ajili ya mradi huu -Gesi asilia ni rafiki wa mazingira, nafuu na salama –Wananchi wa Kata ya

Ouagadougou. Rais wa mpito wa Burkina Faso, Kapteni, Ibrahim Traoré, amewasamehe wanajeshi 21 waliokutwa na hatia ya kujaribu kupindua Serikali ya nchi hiyo karibu muongo

Mnamo tarehe 27 Machi 2025, Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) iliungana na Ubalozi wa Uingereza pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa – Mpango wa

Morogoro. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza walezi wa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu mkoani Morogoro kuwalea watoto hao kwa

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA

Rombo. Serikali imetoa zaidi ya Sh9.3 bilioni kwa ajili ya kutekeleza mradi wa maji utakaopunguza tatizo la maji katika vijiji 31, vilivyopo maeneo ya ukanda

Na Oscar Assenga, TANGA. MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian leo ameungana na Waislamu mkoani Tanga kushiriki katika ibadaa ya Eid-alfitr

Unguja. Wakati miundombinu ya Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) ikitajwa kuchakaa na kuzidiwa, hivyo kusababisha upatikanaji hafifu wa umeme, shirika hilo linadai wateja wake wa

Wakala wa Vipimo Tanzania wamefanya ziara ya kushtukiza katika mabucha mbalimbali kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya mizani,