Watendaji wachochezi waonywa Babati | Mwananchi

Babati. Watendaji wa vijiji na Kata wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wanaokiuka taratibu za kisheria katika masuala ya ardhi na kusababisha kuchochea migogoro ya ardhi isiyokuwa ya lazima wameonywa kuchukuliwa hatua kali. Mkuu wa Wilaya ya Babati, Emmanuela Kaganda ametoa onyo hilo Aprili mosi mwaka 2025 kwenye Kata ya Ufana wakati akiwa kwenye ziara…

Read More

KAYA 980 KUUNGANISHWA NA MTANDAO WA GESI ASILIA – TPDC

–Serikali kupitia TPDC imetenga Shilingi Bilioni 5.3 kwa ajili ya mradi huu -Gesi asilia ni rafiki wa mazingira, nafuu na salama  –Wananchi wa Kata ya Mnazi Mmoja, Lindi wapewa elimu kuupokea mradi. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)  limeendelea kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa kuanza utekelezaji wa mradi…

Read More

Kapteni Traore atoa msimamo wanajeshi 21 waliojaribu kupindua Serikali

Ouagadougou. Rais wa mpito wa Burkina Faso, Kapteni, Ibrahim Traoré, amewasamehe wanajeshi 21 waliokutwa na hatia ya kujaribu kupindua Serikali ya nchi hiyo karibu muongo mmoja uliopita. Taarifa ya kusamehewa kwa wanajeshi hao imetolewa jana Jumatatu Machi 31, 2025na kuchapishwa  na vyombo vya habari vya ndani siku ya Jumatatu. Inaripotiwa kuwa Traoré alitangaza msamaha Desemba…

Read More

TEA NA WFP WAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Mnamo tarehe 27 Machi 2025, Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) iliungana na Ubalozi wa Uingereza pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa – Mpango wa Chakula Duniani (World Food Programme – WFP) katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni. Uhamasishaji huu ulifanyika kupitia warsha maalum iliyowakutanisha walimu wakuu, wapishi, na walimu…

Read More

WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA…CCM TUKO TAYARI

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia CCM basi waiambie Tume. Akizungumza…

Read More

Zeco yadai taasisi za Serikali, wateja wakubwa Sh64 bilioni

Unguja. Wakati miundombinu ya Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) ikitajwa kuchakaa na kuzidiwa, hivyo kusababisha upatikanaji hafifu wa umeme, shirika hilo linadai wateja wake wa ndani zaidi ya Sh64 bilioni. Zeco inapokea umeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kupitia kebo tatu; mbili za Unguja na moja ya Pemba, inayopokea umeme kutoka mkoani Tanga. Akizungumza…

Read More