Adha ya mvua nchini, daraja lafungwa

Simiyu/Mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimesababisha madhara kwenye daraja wilayani Maswa mkoani Simiyu. Hayo yakitokea, katika maeneo mengine nchini wananchi wametakiwa kutorejea maeneo hatarishi, huku viongozi wakijizatiti kutoa elimu kwa umma ili kudhibiti maafa. Wilayani Maswa mkoani Simiyu mvua imesababisha daraja kufungwa katika Kijiji cha Bugarama, kwenye Mto Nyamli kutokana na kuwa hatarini…

Read More

Sowah: Msimu huu navunja rekodi yangu

MSHAMBULIAJI machachari wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah mwenye mabao saba kwenye michezo saba ya ligi, anaamini kuwa msimu huu anaweza kuvunja rekodi yake ya mabao aliyoiweka miaka miwili iliyopita. Msimu wa 2022/2023, Sowah alifanya makubwa nchini Ghana alipokuwa akiichezea Medeama, ambapo aliibuka mfungaji bora wa timu yake. Ilikuwa ni msimu wake wa mafanikio zaidi kwa…

Read More

Kagere autaja msimu wake bora Bara

STRAIKA wa Namungo, Mnyarwanda Meddie Kagere (MK 14 the Terminator), amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara msimu wake bora ni ule wa kwanza 2018/19 ambao alimaliza na mabao 23 – akichangia zaidi ya robo ya mabao 62 ya Simba. Katika msimu huo Simba ilikuwa bingwa ikiwa na pointi 93, ikimaliza na mabao 62 ambapo…

Read More

Wadau wataka haki itendeke ili kulinda amani

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa wito wa kulinda amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, wadau kutoka makundi mbalimbali wametilia mkazo umuhimu wa haki na usawa katika jamii ili kuimarisha utulivu wa nchi. Wakitoa maoni yao kwa nyakati tofauti, wadau hao wameeleza kuwa amani ya kweli inaweza…

Read More

Miili ya wanakwaya sita Same yaagwa, kuzikwa kesho Chome

Same. Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro imeagwa leo Aprili Mosi, 2025. Ajali hiyo ilitokea Machi 30, 2025 eneo la barabara ya Bangalala, wakati wanakwaya hao wakitokea Chome kuelekea Vudee kuinjilisha. Gari walilokuwa…

Read More